Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Mkuu naomba unitumie changu kwa JF pesa, mimi ni mpenzi wa mbege kwa mama naniliuu hapa nitaenda kuvuta Chipuku moja tu nakuwa chakari kabisaPopote ulipo agiza kinywaji ukipendacho nitalipa mimi
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App