bas thats a fake love...Bila kujitangaza kazi yake mitandaoni tungemjuaje my friend 😃🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bas thats a fake love...Bila kujitangaza kazi yake mitandaoni tungemjuaje my friend 😃🤔
Jamani wewe kijana khaa😃😃for men, usiyahusudu mafanikio ya mwanamke kamwe!
kumbuka mwanamke anakalia uchumi wake
Kama ni hivyo sawa.. wewe waona and it doesn't concern me anyways 🙌bas thats a fake love...
unasemaje bibieJamani wewe kijana khaa😃😃
You are talking as if umekatwa BICHWAUkiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006
unasemaje bibie
Enyi kizazi Cha connection..Naona kigogo ameshaamsha huko, connection ya huyo Dada