kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Disaster waiting to happen.
Tanzania hakuna jambo hamtatuonyesha.
View attachment 1216395
View attachment 1216396
Kenya is not great. But it is the general consensus of everyone with a brain that Tanzania is worse.
Badala ya mwenye picha kusema TARURA heri angesema RARUA maana nchi yenyewe imerarukaDisaster waiting to happen.
Tanzania hakuna jambo hamtatuonyesha.
View attachment 1216395
View attachment 1216396
Ila watani zetu,mnamambo!Hehehe!! Yaani hawa kwa ujuha, hii itasambaa aki ya nani, shithole hehehe
Having seen the supposedly 'middle class' estates in Dar, our Umoja, Pipeline and other Eastlands estates look first world. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dar middle class
View attachment 1216433
Nairobi middle class
View attachment 1216434
Ila watani zetu,mnamambo!
Kipindi kile,Yule Mdada kutoka kwenu,kazuiwa kuingia bongo kuchukua U CEO wa Voda,mlipiga kelele mpaka mishipa ya shingo ikawasimama! Sasa kwanini hamuanzii hapo kwenu CEO wa KQ,Mzungu! CEO wa Airtel,Bob,alikuwa raia wa USA!hata aliyekuja badala yake ni Mzungu tu!
Nyie ni wepesi sana.makampuni mengi yaliyowekeza Kenya,ni kutoka Nje,sio yenu nyie weusi.Tofauti na SA,makampuni makubwa wanamiriki wazawa(wazungu).
Acheni mishuzi,jengeni nchi,nyie na sisi wala hatuchekani,
[emoji23][emoji23][emoji23]ko ukipewa hii nchi utafanya mapya kama yapiTanzania ni nchi ya kiqumer sana, usitarajie jipya lolote kutoka utawala huu wa kidhalimu.
Nyie ndio wanafiki hata kuwazidi wanaowatia watu viberiti kule South, yaani mnaabudu wazungu kupita maelezo, mlimkatalia dada wa kwetu kwa kigezo kwamba kuna Watanzania wengi wenye uwezo wa kufanya kazi hiyo, ila hatimaye mkaishia kuajiri mzungu. Yaani hapo mnamchukia mweusi mwenzenu na kushoboke mzungu.
Huku kwetu hatujali aajiriwe mzungu, mweusi ilmradi anakidhi vigezo hatuwezi kuzuia.
Same way they direct untreated human waste from all over Dares Salaam into the Indian ocean. This supposedly "biggest city in east Africa" has only 20% proper sewer coverage.Hehehe!! Yaani hawa kwa ujuha, hii itasambaa aki ya nani, shithole hehehe
Same way they direct untreated human waste from all over Dares Salaam into the Indian ocean. This supposedly "biggest city in east Africa" has only 20% proper sewer coverage.
Umesahau mliempa kazi badala ya Sylvia Mulinge(ambaye mlimteua nyinyi wenyewe) mlimkamata kwa 'fraud' hata kabla mwaka hujaisha? Meanwhile, Sylvia Mulinge alinyakuliwa tena na Safcom na hakurudi kwenye kazi yake ya hapo awali. Alipandishwa cheo na kitengo ambacho anaongoza ni zaidi ya mara tatu ya Vodacom. Mungu alimnurusu Sylvia, sio siri.Hatuna muda wa kuajiri criminal sisi,
Kwanini juzi kati hajapewa awe ceo wa SAf.