Another Oddity from Failed State Tanzania

Another Oddity from Failed State Tanzania

Watafuta nyumba ya Tsh 25000???~ksh 1000? For rent???????
Ndio ujue Tz life ni easy hauumizi kichwa kama kwenu huko.
Yani hiyo 25000 ongeza 15000 yani 40,000Tsh unapata sehem ya kupanga na ina mpk maji ndani kigamboni.
Na nzuri fresh.
Ila sio kenya.
Maisha ghali then magumu.
 
Unajiaibisha.. hii ni fake, ata ukiangalia hiyo picha utagundua imetengenezwa, au kwakua jamaa anaitwa "Jah" mvuta bangi mwenzako.

Unakataa ukweli wa mchana. 😂 😂 😂

Enda Twitter ukaone wenzako walivyochoshwa na serikali ya awamu ya tano.😂

 
Masikini wa Tanzania ana unafuu mara kibao,
Mifano michache, masikini wa Tanzania ana chakula,
Masikini wa Tanzania kama anatumia pombe basi anakuywa pombe yenye hadhi wakati masikini wa kenya anakunywa changaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Maskini wa Kenya akija Tanzania yeye ni middle class.
 
Ndio ujue Tz life ni easy hauumizi kichwa kama kwenu huko.
Yani hiyo 25000 ongeza 15000 yani 40,000Tsh unapata sehem ya kupanga na ina mpk maji ndani kigamboni.
Na nzuri fresh.
Ila sio kenya.
Maisha ghali then magumu.

Hio inaonyesha kwamba Tanzania bongolala ni LDC ambayo haiwezi saidika. Aibu iliyoje.
Angalia nchi zote tajiri, kisha uangalie rent zake kwenye city zao.
Tanzania inakimbizana na South Sudan, Burundi na Somalia kwenye uchache wa pesa ya rent.
 
Je cape town au jorbug utasemaje....
Mbna vitu siku vinabadilika kulingana na hatua nchi inayopiga...
Ndio ujue Tz life ni easy hauumizi kichwa kama kwenu huko.
Yani hiyo 25000 ongeza 15000 yani 40,000Tsh unapata sehem ya kupanga na ina mpk maji ndani kigamboni.
Na nzuri fresh.
Ila sio kenya.
Maisha ghali then magumu.
 
M mwenyewe nimeshangaa...nyumba ya ksh1000 kwel...tena katika jiji kuu...
Ndio ujue kwetu maisha kitu rahisi.
Wewe unashangaa hilo?!!
Tabora mjini Town pale mm nimeishi kama miezi sita nimekodi self contained room kwa 20,000tsh.
Ndio ujue Tz maisha simple nchi ya raha.
 
Hio inaonyesha kwamba Tanzania bongolala ni LDC ambayo haiwezi saidika. Aibu iliyoje.
Angalia nchi zote tajiri, kisha uangalie rent zake kwenye city zao.
Tanzania inakimbizana na South Sudan, Burundi na Somalia kwenye uchache wa pesa ya rent.
Ukubwa wa gharama sio utajiri ndugu yangu ebu ficha ujinga wako kakaangu.
Yani ww una accomodate nyumba km ninayo accomodate mm halafu unalipa kodi mara tano yangu,nani ana maisha mepesi?!!!
Nani kwao kuna unafuu wa maisha?!!
Yani mtu mzima unajisifia kulipa rent kubwa ya nyumba?!!





Ona athari ya kujifaragua na hela kubwa hii.
Wananchi gharama za maisha zinapanda raha ikowapi!!!
 
Ukubwa wa gharama sio utajiri ndugu yangu ebu ficha ujinga wako kakaangu.
Yani ww una accomodate nyumba km ninayo accomodate mm halafu unalipa kodi mara tano yangu,nani ana maisha mepesi?!!!
Nani kwao kuna unafuu wa maisha?!!
Yani mtu mzima unajisifia kulipa rent kubwa ya nyumba?!!





Ona athari ya kujifaragua na hela kubwa hii.
Wananchi gharama za maisha zinapanda raha ikowapi!!!


Ukubwa wa gharama unaonyesha utajiri wa nchi.
Hata USA utapata wananchi wa huko wakilalamika kwamba wages zao ziko chini.
Hakuna nchi yoyote utawahi pata wananchi wakisema wametosheka na pesa.

Tanzania ni LDC. Mishahara yenu ni LDC. Gharama zenu za maisha ni LDC.
 
Back
Top Bottom