Another Oddity from Failed State Tanzania

Another Oddity from Failed State Tanzania

Hilo la kujenga kiholela ni mbaya sana, cz ukiangalia dar wengi hzo nyumba wanazimiliki..so kumuondoa ni ngumu sana...
Thats why serikali inapata wakati mgumu sana kufanya uamuzi wa haraka...

Angalia km nairobi..karibia slums zote ni ardhi ya serikali..sidhani km kuna mtu ana hati ya yale maeneo...tatizo wansiasa wetu huweka mbele sana kura...mdo manake hata kuwa evict ni ngumu..
Wacha kura pekeake,hata human rights wataingilia kati...unaweza kuleta vita nakwambia...
Umesema ukweli.
Lakini kwa huku kwetu mpk serikali inunue maeneo wayavunje ndio wayarekebishe.
Wanajitahidi some how.
Ila mm nashindwa kuelewa hivi kwann hawa wanasiasa wenu wanashikilia sana hzi slum?
Na wenzenu wamekua wakisema kuwa serikali hugeuza slums kuwa vitega uchumi ebu nieleze kaka kwa namna ipi yan wanapataje pato hapo serikali yenu kupitia slums?
 
Tanzania aibu ya ulimwengu. Miaka 60 ya usalama na umoja, na export kubwa yenu Kenya ni omba omba.



Ukwel mnaujua kuwa hao ni wakenya na sio watz. Anaewaeka hapo kwa lengo la kupata hela nampa thumb up but ni mpuuz kutumia tz kama kiki ake
 
Wacha kujitoa ufahamu mkuu..umeskia wapi serikali ikaweka slums kw ajilli ya mapato...

Labda unambie NGOs wa cook data ndio wapate hela nyngi za wafadhili
Umesema ukweli.
Lakini kwa huku kwetu mpk serikali inunue maeneo wayavunje ndio wayarekebishe.
Wanajitahidi some how.
Ila mm nashindwa kuelewa hivi kwann hawa wanasiasa wenu wanashikilia sana hzi slum?
Na wenzenu wamekua wakisema kuwa serikali hugeuza slums kuwa vitega uchumi ebu nieleze kaka kwa namna ipi yan wanapataje pato hapo serikali yenu kupitia slums?
 
Wacha kujitoa ufahamu mkuu..umeskia wapi serikali ikaweka slums kw ajilli ya mapato...

Labda unambie NGOs wa cook data ndio wapate hela nyngi za wafadhili
Mkuu ndio maana nimeuliza.
Kuna wenzako husemi kuwa wanasiasa wenu hutumia zile sehem kuvutia hela mm nilitaka kujua tu wanafanyaje fanyaje hao wanasiasa wenu ?!
Maanake nimeshindwa kuelewa hadi sasa nimeuliza tu .
Mfano Kennedy aliwahi litamka hili.
 
Kw akili zako we waonaje
Mkuu ndio maana nimeuliza.
Kuna wenzako husemi kuwa wanasiasa wenu hutumia zile sehem kuvutia hela mm nilitaka kujua tu wanafanyaje fanyaje hao wanasiasa wenu ?!
Maanake nimeshindwa kuelewa hadi sasa nimeuliza tu .
Mfano Kennedy aliwahi litamka hili.
 
Wakenya wenye akili timamu wanafafamu hao omba omba ni mradi wa wakenya huko,
Ila mjinga anayependa kubishana ujinga kama wewe utatumia ili ujazie argument yako, jifunze kusoma vitabu ili upate maneno ya kutumia kwenye argument [emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi kuhusu hawa majambazi wenu waliojaa kwenye magereza yetu huku.

Omba omba mradi wa Wakenya? Kwanini wasitumie wakenya wenzao?

Kwa sababu Kenya hakuna umaskini kama Tanzania. Hawatapata omba omba wakenya waliotayari wakufanya biashara hizi.
Lakini Tanzania soko ni kubwa.
 
Nani kasema!!
Je wale wapika mbwa kisa njaa sio maskini!!
Je wakodisha wake kwa wazungu sio maskini!!
Omba omba mradi wa Wakenya? Kwanini wasitumie wakenya wenzao?

Kwa sababu Kenya hakuna umaskini kama Tanzania. Hawatapata omba omba wakenya waliotayari wakufanya biashara hizi.
Lakini Tanzania soko ni kubwa.
 
Inategemea unakulaje huyo mbwa na nani anamla, wachina wanapika vizuri rosti safi kabisa wanaweka viungo vyote freshi [emoji23][emoji23][emoji23]
Akila mkenya Inamaanisha ni umasikini uliokithiri na ukosefu wa chakula hutaki andamana.
Over
Wachina hula mbwa kila siku. Kula mbwa sio shida.
Shida ni kula albino.
 
Haya sasa hiyo chemba imeanza kufanyiwa kazi na aliyehusika kaswekwa rumande[emoji23][emoji23][emoji23] mleta uzi unajisikiaje hapo ulipo.
 
Back
Top Bottom