Another Oddity from Failed State Tanzania

Another Oddity from Failed State Tanzania

Rudia tena
Endeleeni na mabwana zenu wakati best President kwa Africa ni magufuli kwa sasa,
Wakenya wengi wanamkubali na kutamani kupata kiongozi kama Magufuli.Keep talking about past news to satisfy yourself,
Wakati Hapo kwenu ukabila ni current news [emoji23][emoji23][emoji23]Warudishine coz mliwaleta ninyi. Huo ndio ukweli that's why ukaquote. Ukabila uwedumaza akili [emoji23][emoji23][emoji23]Kenya ndio nchi inayowatax raia wake tax kubwa na za ovyo ovyo,
Ndio maana wananchi wa Kenya wanalalamika maisha magumu na kukimbia nchi yao,
Katika wakenya 10 basi 7 wanatamani kuhama kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kazi tu.
 
Umesahau mliempa kazi badala ya Sylvia Mulinge(ambaye mlimteua nyinyi wenyewe) mlimkamata kwa 'fraud' hata kabla mwaka hujaisha? Meanwhile, Sylvia Mulinge alinyakuliwa tena na Safcom na hakurudi kwenye kazi yake ya hapo awali. Alipandishwa cheo na kitengo ambacho anaongoza ni zaidi ya mara tatu ya Vodacom. Mungu alimnurusu Sylvia, sio siri.
Alikamatwa for fraud bcoz of tala. They are out now. And he is free na wameshailipa serikali, wanaendelea na kazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ko ukipewa hii nchi utafanya mapya kama yapi
Ataishia ku mastabeti tu, maana hata kuifak hataweza. Eti ya ki K? Hahah washapewa fasihi tamu hao watu wa hivyo.
Screenshot_20190924-192303~2.jpeg
 
Paying rents ni normal sana...hta kw first world countries watu wamekodi na wanishi poa tu...

Anyway...kiburi tu huna lolote
Nadhani hata maana ya kiburi hujui.
Ndio upumbavu sasa kujisifia unalipa kodi kubwa kunizidi ilhali mm naweza rent house km yako kwa kodi ya robo unayolipa.
Nani kwao kuna unafuu wa gharama za maisha ?!!
Sijui unaelewa?!
Hayo mambo ya kiburi sijui yameingiaje na hayo mambo ya sina lolote sijui yameingiaje !!
Ilhali hatujuani.
 
Mbna nisikuelewe wakti wewe n mtu na akili zako...
Lkn ujue mjini ni pa kila mtu...na wengi wao wana makwao, so mjini wapo kikazi tu...then pia kw mfano mtu wa kipato cha kati, wengi wao hujenga majumba makwao..
Utakuta mtu mjini ywalipa kodi kumbe kwao ana nyumba nzuri tu, kw sababu ukilinganisha gharama za kujenga nyumba kwao zipo chini kiasi na pia kulingana na kipato chake mjini hatoweza kununua kiwanja na kujenga nyumba ya maana vile kw sababu ni ghali mno...


So si wote wanolipa kodi mjini eti hawamiliki mijengo...
Nadhani hata maana ya kiburi hujui.
Ndio upumbavu sasa kujisifia unalipa kodi kubwa kunizidi ilhali mm naweza rent house km yako kwa kodi ya robo unayolipa.
Nani kwao kuna unafuu wa gharama za maisha ?!!
Sijui unaelewa?!
Hayo mambo ya kiburi sijui yameingiaje na hayo mambo ya sina lolote sijui yameingiaje !!
Ilhali hatujuani.
 
Wakenya wenye akili timamu wanafafamu hao omba omba ni mradi wa wakenya huko,
Ila mjinga anayependa kubishana ujinga kama wewe utatumia ili ujazie argument yako, jifunze kusoma vitabu ili upate maneno ya kutumia kwenye argument [emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi kuhusu hawa majambazi wenu waliojaa kwenye magereza yetu huku.
Omba omba wa Tanzania wako kwa maelfu Kenya. Failed state.
Export yenu kubwa duniani ni omba omba. Na bangi.

 
Ndio ungeongea sasa sio kuleta mipasho bro.
Kwa huku Dar hata mjini kumiliki nyumba si ghali sana.
Ndio maana watu wanajenga kiholela kwasababu gharama za kujenga hadi mjini ziko kawaida.
Mbna nisikuelewe wakti wewe n mtu na akili zako...
Lkn ujue mjini ni pa kila mtu...na wengi wao wana makwao, so mjini wapo kikazi tu...then pia kw mfano mtu wa kipato cha kati, wengi wao hujenga majumba makwao..
Utakuta mtu mjini ywalipa kodi kumbe kwao ana nyumba nzuri tu, kw sababu ukilinganisha gharama za kujenga nyumba kwao zipo chini kiasi na pia kulingana na kipato chake mjini hatoweza kununua kiwanja na kujenga nyumba ya maana vile kw sababu ni ghali mno...


So si wote wanolipa kodi mjini eti hawamiliki mijengo...
 
Ndio ujue Tz life ni easy hauumizi kichwa kama kwenu huko.
Yani hiyo 25000 ongeza 15000 yani 40,000Tsh unapata sehem ya kupanga na ina mpk maji ndani kigamboni.
Na nzuri fresh.
Ila sio kenya.
Maisha ghali then magumu.
Just shows the low level of incomes, cheap standards. Just some cheap "dream houses" with no sewer and other social services..
 
Siku zote mtoa mada tambua kuwa mpumbavu huona mabaya mazuri haoni
 
Hilo la kujenga kiholela ni mbaya sana, cz ukiangalia dar wengi hzo nyumba wanazimiliki..so kumuondoa ni ngumu sana...
Thats why serikali inapata wakati mgumu sana kufanya uamuzi wa haraka...

Angalia km nairobi..karibia slums zote ni ardhi ya serikali..sidhani km kuna mtu ana hati ya yale maeneo...tatizo wansiasa wetu huweka mbele sana kura...mdo manake hata kuwa evict ni ngumu..
Wacha kura pekeake,hata human rights wataingilia kati...unaweza kuleta vita nakwambia...
 
Sasa kwanini msiwajengee angalau nyumba za kawaida tu mtoe hizo za mabati?
Hilo la kujenga kiholela ni mbaya sana, cz ukiangalia dar wengi hzo nyumba wanazimiliki..so kumuondoa ni ngumu sana...
Thats why serikali inapata wakati mgumu sana kufanya uamuzi wa haraka...

Angalia km nairobi..karibia slums zote ni ardhi ya serikali..sidhani km kuna mtu ana hati ya yale maeneo...tatizo wansiasa wetu huweka mbele sana kura...mdo manake hata kuwa evict ni ngumu..
Wacha kura pekeake,hata human rights wataingilia kati...unaweza kuleta vita nakwambia...
 
Back
Top Bottom