Fanya hima. Ili uingie kwenye familia yangu sharti ni kukaguliwa na mimi mkaguzi mkuu wa familia. Ila chondechonde familia hii ina allergy na kale kalugha kako kanakotufanya tung'ate ulimi tukisoma posts zako...Hata mimi anaweza kuwa babu yangu? Na mimi nataka.
Babu anazeekaje tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukizeeka utakuwa na vituko sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua kuulizia nyama buchani?Ni kweli wewe ni "babu" ? Au ni jina tuu?
AstaghafirulilahLigongeshe hata kwenye jiwe, ili mleta mada apate laana kubwa zaidi...teh[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!
Nimeshanunua dikshenare na lichupa likubwa la K Vant. Sitakagi ujinga mimiPaula Paul ni next level babu, kapitiliza vigezo.
Kwanza vile Joanah na chaliifrancisco wanavyotulingishia viingereza vyao sasa hivi tutawakomesha, maana lazima tuokoteze vocabulary kiasi.
Nimeshanunua dikshenare na lichupa likubwa la K Vant. Sitakagi ujinga mimi
Nilikuwa vyema sana Sanchez.Kwenye maswala ya nomino(mtendwa) na vitenzi ( mtendewa) inaonekana ulikuwa vizuri sana rafiki.
Sawa nikaguliwe sitaki kuchelewa kuingia kwenye familia.Fanya hima. Ili uingie kwenye familia yangu sharti ni kukaguliwa na mimi mkaguzi mkuu wa familia. Ila chondechonde familia hii ina allergy na kale kalugha kako kanakotufanya tung'ate ulimi tukisoma posts zako...
Ni mimi babu ODM nikiwa hapa makao makuu ya ukoo
Don punguza vituko basi. Sio vizuri kunifanya nichekee simu.Paula Paul ni next level babu, kapitiliza vigezo.
Kwanza vile Joanah na chaliifrancisco wanavyotulingishia viingereza vyao sasa hivi tutawakomesha, maana lazima tuokoteze vocabulary kiasi.
Don punguza vituko basi. Sio vizuri kunifanya nichekee simu.
Cc: chaliifrancisco Joanah Don Clericuzio Sky EclatSawa nikaguliwe sitaki kuchelewa kuingia kwenye familia.
Kilugha siongei tena.
Cc: chaliifrancisco Joanah Don Clericuzio Sky Eclat
Kwa taarifa na utakelezaji wa makaribisho ya mjukuu mpya
Mi tayari nshaongeza vivocabularies flani hivi vya chuo kikuu..... Afu kumbe leo Jumapili... am going to church to pray... prayin't me? Na hapo sijanywa K Vant wala sina dikshenare... Paula Paul atakoma kunichokoza)Safi sana babu, mimi pia nimechukua mzinga wa K-Vant mmoja.
Mpaka huu uishe ntakuwa nishalielewa somo.
Mi tayari nshaongeza vivocabularies flani hivi vya chuo kikuu..... Afu kumbe leo Jumapili... am going to church to pray... prayin't me? Na hapo sijanywa K Vant wala sina dikshenare... Paula Paul atakoma kunichokoza)
Nimekamata digrii ya kimombo kupitia kwa Profesa Ras Simba.... Yaani ukisoma kwake miezi mitatu tu unapiga kimombo Tony Blair anasubiriHahaha, babu hapo ni churchn't me?
Ukute umepata vocabulary kwenye vile vyuo vya Polycyclic College, sijui Amazon College, vingi vya hapo Manzese na Kariakoo ni chenga.
Nimekamata digrii ya kimombo kupitia kwa Profesa Ras Simba.... Yaani ukisoma kwake miezi mitatu tu unapiga kimombo Tony Blair anasubiri