Ansante sana baba @mshana jr

Ansante sana baba @mshana jr

Ila uache uchawi ufike mbinguni [emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mshana Jr

Baba lao la jf hata kama hawampendi ila ndo hivyo jamaa ana moyo wa kipekee sana ...tofauti na hawa waremba mwandiko kumbe mabedui yanageresha ili kupata mingo ya Dada zangu...

Ila uache uchawi ufike mbinguni

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Kumbe unajuaga kiswahili. Leo umenipunguzia tatizo la kusoma post yako bila kutumia dikshenare. chaliifrancisco akipita hapa atapata baraka sana
Nimecheka kama dakika moja nzima.
Naandikaga kiswahili tena kiswahili fasaha Asprin.

Sasa ukiona nimeandika kingereza huyo uliyem-mention chaliifrancisco ndio huwa anaandika mimi nampa tuu maneno kwa kiswahili.
 
Nimecheka kama dakika moja nzima.
Naandikaga kiswahili tena kiswahili fasaha Asprin.

Sasa ukiona nimeandika kingereza huyo uliyem-mention chaliifrancisco ndio huwa anaandika mimi nampa tuu maneno kwa kiswahili.
Hahaha acha bana kumdanganya babu yangu ananifahamu asije siku kunipa kazi ya kuongea na wazungu nikaaibika bwana. 😅😅
 
Back
Top Bottom