Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
CCM ni chama chenye usubutu na chenye kuamini kuwa hakuna aliye zaidi ya chama na chenye kutetea maslahi mapana ya Taifa Kama ni kweli acha waondoke kwani waliondoka wengi wakubwa zaidi yao binafsi niwatakie uzee mwema
 
Drama hizi za ccm sio za kuamini sana.. Kuna wakati hao wazee wakiwa madarakani walikuwa untouchables lakini pia wana tuhuma lukuki kama viongozi wengine wote wa ccm... Tusubiri yatokanayo

Jr[emoji769]
Hata kama wanatuhuma (kama ambavyo viongozi wote walivyo nazo) utaratibu ulipaswa kufuatwa.
Hatuwezi chama chetu kukubali kiendeshwe kihuni na kukoseana heshima kwa kuwatumia kina Musiba na Makonda kutukana na kudhalilisha watu.
Julai tunambwaga mwenyekiti (anayepeleka mambo kihuni) kwa kumnyima kubeba bendera uchaguzi 2020 kisha baada ya hapo tunamfyeka. Inatosha sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No retreat no surrender,Mbona husemi yote? Kuna fisadi mkubwa kuliko huyu?
Acheni longolongo, tunataka chama chetu kirudi mikononi mwetu.
IMG_20200120_201439.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni chama chenye usubutu na chenye kuamini kuwa hakuna aliye zaidi ya chama na chenye kutetea maslahi mapana ya Taifa Kama ni kweli acha waondoke kwani waliondoka wengi wakubwa zaidi yao binafsi niwatakie uzee mwema
Kama unaamini CCM kina uthubutu mwambie Polepole/Bashiru aje amuite Makonda kumuhoji.

dodge
 
Bu'yaka,
Wewe ndo umesoma vibaya,kwa mujibu wa SAUTI KUBWA, Membe na Kinana ndo walitakiwa kufutiwa uanachama na Mzee Makamba kupewa onyo kali,imebadilika Mzee Makamba na Mzee Kinana wamejiuzulu uanachama wenyewe
 
Kama hii habari ni "questionable" kwa nini moderators wanaiacha hapa jukwaani?
 
Duh!, kama ni kweli, hii ni kali ya mwaka, ila mimi ni mmoja katika kundi la kina Tomaso, siamini mpaka CCM wenyewe waseme!.
P
Amini kujiuzulu kwao au kama mwanahabari basi thibitisha kuhuzuria kwao kwenye kikao cha mahojiano!
 
Hawa wazee 'pension' wanayopewa haiwezi kufutwa?

Itakuwa vigumu kuwapa "uhujumu uchumi"; lakini hawawezi kuepa matope watakayotupiwa.

Kule kudukuliwa tu ilikuwa ni ishara tosha kwamba habari zao nyingi zilishachimbuliwa ili zitumike kuwanyamazisha wakileta kiherehere.

Subiri yajayo, utashangaa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom