Kiswahili chako tu kimeshadhihirisha uraia wako ni wa mashaka . Ngoja nikuache tu usije ukarudishwa kwenu na ndugu zako mliojazana kwetu .aliyeleta taarifa ndio Muhaya nshomile kabisa,
Katibu Mkuu wa Chama ndio akapige magoti
ukisikia mtu anaitwa mujunwa akili zake ni za kujisifu na kujiona bora stand tu mpaka mututangazie, mbona tetemeko na magonjwa kibao hamkujisifu, mnajisifia upuuzi wa udiwani eti kaombwa akashindane na Kagasheki, mara Rwakatare, acheni majigambo jengeni stand
Nahisi wa iringa walifanya mwakajuzi! Hivi nyie miwatu mnanini vichwani mwenu?Meya amebakiza siku ngapi asiwe Meya tena halafu namfahamu hana chochote cha maana wakati mwingine tumieni akili. Kwa nini CCM wasimtafute mapema waje wamtafute siku za lala salama??
Kwanin ccm walimtoa meya wa iringa kibabe wakijua umebaki mda mchachevmda wake uisheMeya amebakiza siku ngapi asiwe Meya tena halafu namfahamu hana chochote cha maana wakati mwingine tumieni akili. Kwa nini CCM wasimtafute mapema waje wamtafute siku za lala salama??
Ndugu, tusiponde watu bila tahadhari, siku hizi kwetu hili ni jambo la kawaida sana kwa Viongozi wa chama changu na serekali ya chama changu, wamekuwa waigizaji wa hali ya juu, hata kuwazidi China, kwa kuigiza kujikomba kwa mkuu.Duh....!
Huu utakuwa uzushi Dr Mpango aache kuhangaika na uchumi unaoyumba dunia nzima aanze kumrubuni Meya ahamie CCM?
Hizi ni siasa za kiwango cha " SIFURI"
CCM ilishakufaga na Nyerere. Hawa wanunuzi wa Binadamu ni GENGE la KIGAIDI.
Wanachezea kodi zetu kwa kigezo cha "RUZUKU ya CHAMA" watajutia hii biashara siku moja. Mda utaamua.
Tukisema nyie ni WABWATAJI BWATAJI mnalia, so what yote haoyo ya Dar na Iringq yamefanyika na yametimiaKwa tunaojua wala hatushtuki mtu akiunga mkono juhudi. Mbinu hii huwa ikishindikana wanakuja na mbinu ya kibabe kama meya wa Iringa na Jiji Dar
Umeshapona kiuno?Fatuma, hii mipango watu huwa wanafanya mule ndani ya ofisi, siyo pale nje barabarani Lumumba st unaposhinda kutwa kuuza vikoi na kofia za njano na kijani!
Inaonekana JPM kamfanya Ngurumo kukosa hoja za maana na zilizoshiba kama enzi zileeee kabla Mbowe na Lisu hawajakiuza chama kwa CCM 2015.Waziri wa Fedha na Mipango, ambaye majuzi alimpigia simu Meya wa Bukoba, Chifu Karumuna, akamwita kwa dharura aende Dodoma kwa mazungumzo ya kikazi. Manispaa ya Bukoba inaongozwa na CHADEMA. Iilikuwa hivi:
Chifu Karumuna akapokea simu toka Waziri Mpango, akaitwa Dodoma. Akaenda.
Kufika ofisi ya Waziri, akakutana na Mkuu wa Mkoa Kagera na Mkuu wa Wilaya Bukoba.
Wakaanza kumbembeleza kuwa ameitwa kupewa hela ya miradi ya Stendi mpya na Soko.
Walipoingia ndani wakamkuta Bashiru. Waziri Mpango akaanza. Tumetenga hela kwa ajili ya miradi muhimu ya Bukoba. Akamsifia Chifu jinsi alivyo mtu makini. Ndipo Bashiru akaanza kuwa Mh Rais ana imani kubwa na Chifu. Kwamba anamuomba akubali kuunga mkono juhudi.
Kwamba njia ya kuwa waziri ni nyeupe. Miradi hiyo mikubwa fedha tayari. Akiingia CCM, wote wanaotangaza nia watanyamazishwa mara moja. Balozi Khamisi Kagasheki atafukuzwa kwenye chama kwa sababu ni mpinzani. Chifu akadakia, sisi wapinzani hatumtambui kuwa ni mwenzetu. Bashiru akasema, “Balozi ni wa ACT.”
RC na DC wakapiga magoti mbele ya Chifu kumsihi aunge mkono juhudi. Bashiru akataka kupiga magoti Chifu akamzuia. Ndipo Chifu akawaambia kuwa hawezi kufanya hicho kitu. Akawaambia yeye ni mseminari na anaheshimu viapo. Akawapa ofa, kuwa yuko tayari aache siasa kuliko kuunga mkono juhudi.
Bashiru akasema Bukoba ni kwao na amehakikisha fedha inatengwa lakini sasa Chifu amewaangusha wana Bkb.
Mkutano ukavunjika. RC na DC wakachukia kweli.
Awali, katika maandalizi, walikuwa wameshirikisha wabunge weote wa CCM kutoka Kagera. Anna Tibaijuka wa Muleba Kusini na Diodorus Kamala wa Nkenge waligoma. Charles Mwijage wa Muleba Kaskazini hakuwepo Dodoma wakti Chifu anafika. Innocent Bashungwa wa Karagwe alishiriki mipangi lakini hakuhudhuria kikao cha Dodoma.
Msione watu wanajidai, msione wabunge na madiwani wa CHADEMA wanapukutika. Mipango inaanzia mbali.
Kumuita kapuku mtu asiye na hela na anayetegemea kulipwa elfu 7 kwa kuandika humu jf haijawahi kuwa tusi , hilo ndio jina lake halisi .Mkuu kuna mtu ka hack account yako! Tumewazoea makamanda kwa kutumia matusi na kashfa sana katika kujenga hoja zao ila sikuwahi kuona popote na wewe ukitumia mfumo huu.. Ungetuwekea tu hiyo sauti ingeongea mengi na ya kutosha kuliko haya uliyoandika. Tunaomba tu huo ushahidi wa sauti isije kuwa unatudanganya maana siku za hivi karibuni umekuwa na habari za uongo uongo nyingi..
Waziri wa Fedha na Mipango, ambaye majuzi alimpigia simu Meya wa Bukoba, Chifu Karumuna, akamwita kwa dharura aende Dodoma kwa mazungumzo ya kikazi. Manispaa ya Bukoba inaongozwa na CHADEMA. Iilikuwa hivi:
Chifu Karumuna akapokea simu toka Waziri Mpango, akaitwa Dodoma. Akaenda.
Kufika ofisi ya Waziri, akakutana na Mkuu wa Mkoa Kagera na Mkuu wa Wilaya Bukoba.
Wakaanza kumbembeleza kuwa ameitwa kupewa hela ya miradi ya Stendi mpya na Soko.
Walipoingia ndani wakamkuta Bashiru. Waziri Mpango akaanza. Tumetenga hela kwa ajili ya miradi muhimu ya Bukoba. Akamsifia Chifu jinsi alivyo mtu makini. Ndipo Bashiru akaanza kuwa Mh Rais ana imani kubwa na Chifu. Kwamba anamuomba akubali kuunga mkono juhudi.
Kwamba njia ya kuwa waziri ni nyeupe. Miradi hiyo mikubwa fedha tayari. Akiingia CCM, wote wanaotangaza nia watanyamazishwa mara moja. Balozi Khamisi Kagasheki atafukuzwa kwenye chama kwa sababu ni mpinzani. Chifu akadakia, sisi wapinzani hatumtambui kuwa ni mwenzetu. Bashiru akasema, “Balozi ni wa ACT.”
RC na DC wakapiga magoti mbele ya Chifu kumsihi aunge mkono juhudi. Bashiru akataka kupiga magoti Chifu akamzuia. Ndipo Chifu akawaambia kuwa hawezi kufanya hicho kitu. Akawaambia yeye ni mseminari na anaheshimu viapo. Akawapa ofa, kuwa yuko tayari aache siasa kuliko kuunga mkono juhudi.
Bashiru akasema Bukoba ni kwao na amehakikisha fedha inatengwa lakini sasa Chifu amewaangusha wana Bkb.
Mkutano ukavunjika. RC na DC wakachukia kweli.
Awali, katika maandalizi, walikuwa wameshirikisha wabunge weote wa CCM kutoka Kagera. Anna Tibaijuka wa Muleba Kusini na Diodorus Kamala wa Nkenge waligoma. Charles Mwijage wa Muleba Kaskazini hakuwepo Dodoma wakti Chifu anafika. Innocent Bashungwa wa Karagwe alishiriki mipangi lakini hakuhudhuria kikao cha Dodoma.
Msione watu wanajidai, msione wabunge na madiwani wa CHADEMA wanapukutika. Mipango inaanzia mbali.
Kumuita kapuku mtu asiye na hela na anayetegemea kulipwa elfu 7 kwa kuandika humu jf haijawahi kuwa tusi , hilo ndio jina lake halisi .
Usishangae,huyo ndio JIWE katika ubora wake.Duh...!
P
Duh....!
Huu utakuwa uzushi Dr Mpango aache kuhangaika na uchumi unaoyumba dunia nzima aanze kumrubuni Meya ahamie CCM?
Hizi ni siasa za kiwango cha " SIFURI"
eti.. of which!!!How do we trust Ngurumo, of which he is anti- CCM + anti-Government political activist, his views or articles zinakosa uhalali na ukweli kutokana na kuwa ni mpinzani, hivyo sbb ni mtunzi tu wa habari, ataongea kiupinzani tu. Haina mashiko hii habari
Endeleeni kuwa kama mshumaa. Unawaka huku ukiteketea.Kwamba CCM wanafanya siasa za kipumbavu, wameshindwa kuwashawishi wapiga kura sasa wananunua wapigiwa kura. Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.View attachment 1407452
Sent using Jamii Forums mobile app