Ansbert Ngurumo: Bashiru aangukia pua kwa Meya Chifu Karumuna

Kwani mtu kuendwa akachaguliwa ni chuki binafsi ama ndo demokrasia yenyewe, ama unataka wa kuteuliwa tu fafanua kidogo walau itanifikirisha kidogo
 
Duh....!

Huu utakuwa uzushi Dr Mpango aache kuhangaika na uchumi unaoyumba dunia nzima aanze kumrubuni Meya ahamie CCM?

Hizi ni siasa za kiwango cha " SIFURI"
Ni kwa vile unajifanya hujui kuwa CCM inageuza watu kuwa wajinga!
 
CCM wana siasa za kipumbavu sanaView attachment 1406917

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM wapende wasipende yafaa wasome alama za nyakati.
La kuvunda halina ubani. Yaweza kuwa ngumu sana kwao kumeza, lakini mvuto wa kweli kutoka moyoni hujengwa juu ya haki na sio kwa ghiliba, vitisho wala mabavu. Yule Bashiru wa zamani akiamua kuzinduka atalijua hilo.
Wenye njaa na tamaa kali wataendelea kupatikana na kuja huko kwa bidii sana, debe zima. ILA wakiishajaa kama ambavyo yazidi kudhihirika, watararuana na kutimuana wakishandania njaa za matumbo yao.
Bado kitambo kidogo tu mwisho watauona wenyewe hukohuko kwao. Amen
 
Meya amebakiza siku ngapi asiwe Meya tena halafu namfahamu hana chochote cha maana wakati mwingine tumieni akili. Kwa nini CCM wasimtafute mapema waje wamtafute siku za lala salama??
hana cha maana kwa maana gani? wewe ni mjinga hujui lala salama kwenye halmashauri michezo ambayo huwa inafanyika kwenye masuala ya fedha. Ujinga wa kutoelewa mambo ndio unawafanya msijue ni kwanini CCM dakika za lala salama inafanya mapinduzi haramu kwenye uongozi wa halmashauri. Wajinga ndio waliwao!
 
Yaani katibu Mkuu aanze kuhangaika na meya ambaye October 2020 anaenda kubwagwa
Kuna madiwani wawili walinunulia kwa ml2 huko pwani. Aliyeshiriki kupeleka pesa alikuwa afisa biashara mmoja kifutu. Mla rushwa aliyekubuhu
 
Lucifar ameweka kmbi yake Tz awamu hii, matokea yake yatakuwa mabaya sana kwa waliomkaribisha!
 
Sasa haya yalishapita,tunataka mapya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…