Ansbert Ngurumo na Dkt. Minja mubashara kwenye Al Jazeera

Ansbert Ngurumo na Dkt. Minja mubashara kwenye Al Jazeera

Hataki kucheleweshwa kujenga mafitufitu kwahiyo korona anaifukia mradi liende
 
Kwani Tz mbongo anapomkosoa huwa hana hoja ?!.

Kwa mfano issue ya Corona Mzee anachemka !!. Kama kiongozi mkuu , hakutakiwa kuicrush maabara kuu ya taifa. Kwa kuipimisha oil, kware, makondoo na mimbuzi. Na kisha kuhusisha udhaifu wa maabara hiyo na mabeberu. Kutimua wataalamu wake

Pili hakutakiwa kuificha takwimu na kuikana Corona kuwa haipo. Wakati raia waTz wakivuka mpaka tu , wanapimwa na kukutwa na Corona eg madereva, wachezaji na hata wasafiri wa kawaida mfano Oman !!

Tatu na mwisho . Barakoa zimeingia huku tukiwa na taasisi zetu tunazoiziamini eg Tiss, Tmda, Tra , Police nk. Sasa tusipoziamini hizi taasisi, tumuamini mtu moja tu Maghufuli ?!

Angalia hoja za mkosoaji
Tatizo ni kwamba haelezi hayo makosa ya JPM kwa nia ya kutaka yarekebishwe bali anachokifanya ni kutumia hayo makosa kwa malengo ya kuonyesha JPM hafai,kwahiyo lengo si kukosoa kwa maana ya kwamba tatizo si hayo anayoyafanya JPM bali tatizo ni JPM mwenyewe.
 
Kwa hiyo kwenye kampeni ulitaka akae kimya? Kwan na yeye Kama ulivo wewe si ana chama chake ambacho alitaka kishinde? Ulitaka asikipigie kampeni?
Kwahiyo baada ya kushabikia chama chake kwenye kampeni na kushangilia wingi wa mikusanyiko ya watu wasio na tahadhari za kujikinga na coronana ndio sasa anakumbuka kuwa Tanzania kuna corona?
 
Statement ya JPM kuhusu namna anavyo shughulikia Covid-19 imemchafulia sana Image yake Nje.

Mungu asaidie, but otherwise watakaobaki hai baada ya janga hili watamwandikia kitabu kumsimulia(Bad side of him)
Huna habari na kitabu kinachoitwa Game Changer? Kimeandikwa na waahadhiri wa Jalalani University.
 
Huna habari na kitabu kinachoitwa Game Changer? Kimeandikwa na waahadhiri wa Jalalani University.
Sijakisoma hicho kitabu, kinapatikanaje online au hard copy??

Zamani kulikuwa kuna waandishi wanajua kutumia Lugha za mafumbo kuwakosoa viongozi, refer Kusadikika n.k

Hawa wasiku hizi wamekuwa watu wa ndiyo Mzee, hakuna Critics
 
Ni vyuo vyote.
Inasikitisha kwa kweli!

1.jpeg
 
Hivi kati yetu humu nani ana vaa mask sema kwa uaminifu tu. Mimi sivai nishaugua corona mara 2, na hata sasa nahisi nina corona maana nina mafua yasiyoisha, pia kama nanusa kwa mbaaali
 
Majitu majinga sana huyu Rais analeta habari kama zileee za kibwetere wa uganda. Usafiri vipi huko air port i wajameni nataka kusepa. Nikaoaye chanjo huko south hela ninazo.
Halafu mbona madaktari hawafi? Weee Dr chipata mzee wa emergency ward temeke hosp. Lete mrejesho wangapi wamekufa hukooo? Duuu! Haki ya nani!
 
Madaktari !!!!!!wataalam wetu wamepigwa midomo plaster!

Jitoeni kimasomaso msiyumbishwe msiogope ntawalinda
 
Back
Top Bottom