Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

Anzisha na wewe kituo cha kwako
Uwe unatangaza kile unachopenda
Unamlaumu Diallo ulimpa mtaji
Acha unafiki wewe dada
 
Anzisha na wewe kituo cha kwako
Uwe unatangaza kile unachopenda
Unamlaumu Diallo ulimpa mtaji
Acha unafiki wewe dada
Sijalaumu mtu yeyote , nimeuliza tu alichokipata kwa upotoshaji wake wa makusudi uliopitiliza .
 
Walimsamehe kodi halaf baadaye wakaanza kumfuatilia. Mwenyekiti hana siasa katika kazi lakini pia hana njozi ya kweli ya Tanzania ya viwanda!
 
Hapo mnapokuwa wajinga, wapumbavu na malofa! UKAWA ipewe Nchi kwa uzoefu gani walionao katika kuongoza Nchi? Nchi haiwezi kufanyiwa majaribio kwa kuwapa Vyama ambavyo havina hata Wagombea na vinavyofanya mambo kwa ubabaishaji tu!! Makosa ya CCM hayawezi kuhalalisha udhaifu wa upinzani!
 
Kwa binadamu yeyote ni lazima awe na aibu , hasa baada ya yale aliyoshiriki kuaminisha jamii kwamba chini ya mgombea wake yangefanikiwa lakini yakafeli vibaya sana ! Hakuna amani Mwanza .
Nitadanganywa mara elfu lakini siyo kwa Mgombea wa UKAWA! Mtu aliyetafuta Urais kwa nguvu kubwa hafai!
 
Wewe ni wa kuhurumiwa tu .
 
Mbona hujaisema ITV ilivyo shabikia CDM ? Acha kutupotosha banaa !
 
Dah! Sahara Communication ilipewa ahadi hadharani kwamba itabebwa. Upendeleo wa wazi kabisa lakini kwa kuwa ulifanywa na waliozoeleka kufanya madudu watu hawakushangaa!!

Kuna mambo mengine hayafanyiki hadharani jamani mbona jukwaa letu linapungua intelijensia? Hivi hujawai kusikia gharama za shughuli maalum? Utauliza zilikuwa za nini? Sina maana kapewa kwa staili hiyo ila napenda tu nikuelimishe
 
Haha NA Serikali yenyewe imemtangazia mdeni yake ya nhc
 
Kuna mambo mengine hayafanyiki hadharani jamani mbona jukwaa letu linapungua intelijensia? Hivi hujawai kusikia gharama za shughuli maalum? Utauliza zilikuwa za nini? Sina maana kapewa kwa staili hiyo ila napenda tu nikuelimishe
Kumdhalilisha kwa kumtangaza hadharani kwamba anadaiwa ilikuwa mshahara mkubwa sana wa uzandiki wake , hata kama baada ya hapo walimlipia .
 
Ni kama walivyokuwa watu wa kaskazini kwa kuangalia ITV pekee. Star Tv ilitimiza wajibu wake kwa kutuhabarisha tukae mbali na genge la watu waliokuwa hawataki kingine chochote zaidi ya madaraka. CDM kama vile Essau wa kwenye biblia walikuwa tayari kuuza uadilifu wao wa awali wa chama chao kwa fikira kwamba tajiri mpya angewapeleka ikulu. Kama Magufuli atashindwa kutimiza wajibu wake itakuwa ni juu yake lakini otherwise Star tv walifanya vizuri.
 
Leo nae anaisoma namba. Tunaongea lugha moja sasa. Maana nae anadaiwa hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…