Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

Pamoja na uongo wako mrefu sana uliojaa mapovu mengi mithili ya mgonjwa wa kifafa , sasa rudi kwenye hoja , Dunia inaomba kujua FAIDA ALIZOPATA DIALLO KWA UONGO ULE WA KARNE ALIOUFANYA .
FAIDA NI KWAMBA ALIZUIA MAFISADI WASIENDE IKULU. FULL STOP
 
BUNGE LILIMTAKA AJIPIME KAMA KWA KUHUSIKA KWAKE NA RICHMOND ANAFAA KUENDELEA KUWA PM. AKONA ATAAIBIKA AKIONDOLEWA KWA AZIMIO LA BUNGE. AKAACHIA NGAZI. DR SLAA ALIFUKUZWA NA CHADEMA WALIPOINGIA KWENYE UNAFIKI WA KUMLETA MTU WALIYEMTANGAZA FISADI AGOMBEE UCHAGUZI KUPITIA UKAWA. MWENYE AKILI AKAJUA AKUFUKUZAE HAKUAMBII TOKA. AKAWAACHA NDUMAKUWILI MUENDELEE
 
ccm ni msitu mnene ni maficho ya wahalifu na wahuni wote nchi hii.
 
Sasa nani hapo alitimuliwa???? Hayo ya kutimuliwa ndio nataka uthibitishe sio hearsay eti "aliona angedhalilishwa...." kana kwamb we mke wake alikwambia chumbani. Haya bado unadanganya te cjui eti chadema walimleta lowasa eti slaaa akasusa wakati hta slaa alikiri yye ndio alihusika kumleta lowasa chadema kupitia mshenga gwajima ssa hayo ya dr slaa kutimuliwa yanatoka wapi?? Narudia tena best ya dr slaa mshenga gwajima na john mnyika walisema wazi kuwa aliyesababisha slaa aondoke ni mke wake sasa www ni nani umjue slaa kuliko mnyika na mshenga gwajima???? Na facts waliweka??

Shame on u empty mind
 
Ha! Ha! Ha!
 
FAIDA NI KWAMBA ALIZUIA MAFISADI WASIENDE IKULU. FULL STOP
Kwahiyo alizuia fisadi wakati yeye naye ni fisadi?? Ina maana wakati anampigia kampeni magufuli alikuwa amelipa kodi zake zote??? Kma je deni lilikuwepo toka enzi hizo za kampeni ni kweli tukisema ccm inafadhiliwa na mafisadi????

Ukweli huwa unatabia ya kujificha ila with time unakuwaga dhahiri
 
Kwa akili yako ndogo Unataka kusema alistaafu?
 
Amepata faida kwa kuweka madarakani serikali inayonyoosha wakwepa kodi wa type yake.
 
Muuulize baba yako atakuambia.
Sina ndugu wa direct ccm mimi wote nlishawapaga elimu ya uraia na wote walipiga kura kwa mara ya kwanza 2015 ili kuifuta ccm hivyo wote hao wanaamini katika mabadiliko nje ya CCM!! so sina baba anayeshabikia lichama chakavu lenu
 
Kwa akili yako ndogo Unataka kusema alistaafu?
Gangonine: lowasa alifukuzwa
Gangonine: slaa alifukuzwa

FACTS
Slaa alijiuzuru
Lowasa alijiuzuru

Kajifunze kwanza historia ya siasa za bongo ndio urudi sio unapotosha watanzania hapa kumbe huna lolote unalojua shame on u
 
Nyerere alipewa nchi kwa uzoefu alioutoa wapi!?!? Unapokuwa baba wa familia uzoefu unautoa wapi!?!?

....acha kutumia matako kufikilia kaka.....

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Hayo malengo unesema wewe ila jamaa yeye alitumia ccm kama kichaka cha kujifichia wahujumu nchi kama ilivyokuwa imezoeleka!!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Hoja mufu kabsa kama ni hivyo hakuna haja ya kuwa na vyombo Vya habari katika nyanja kuhabarisha mienendo ya serikali na mambo mengine yafananayo!!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Na kweli anabebwa maana king'amuzi chake usipolipa hupati channel yoyote. Kwa maana hiyo, hata tbc ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu lazima uilipie ndiyo uione ndani ya Continental!!!
Kang'amz chake ni kipi nisije nikakinunua bila kujua!!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kundi la 90% exactly!!

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…