Anthony Diallo anazeeka vibaya

Lakini bado tu anakosa anayesema hayo kwa nini hakuachia nafasi yake ili tungeamini kabisa kua alimanisha
 
Nilidhani unaandika kama mtu huru kumbe mwana CCM sijapoteza muda wangu kusoma.
 
Ni hulka is CCM kuja na maandiko kama haya... Hampendi kuambiwa UKWELI...

Zanzibar kujiunga na OIC mlikana kabisaa na mkalifungia gazeti la Motomoto hadi leo

Hata Loriondo kuuzwa mlikana pia na gazeti la Motomoto likapigwa stop hadi leo...
 
Ni hulka is CCM kuja na maandiko kama haya... Hampendi kuambiwa UKWELI...

Zanzibar kujiunga na OIC mlikana kabisaa na mkalifungia gazeti la Motomoto hadi leo

Hata Loriondo kuuzwa mlikana pia na gazeti la Motomoto likapigwa stop hadi leo...
Kama Diallo angejivua cheo hicho kipindi cha kichaa na kusema hayo leo tungemuelewa.
Yaani anafanya kitu ambacho na yeye ni mshiriki
 
Wazee wengi sana wa CCM ni wanafiki sana ila wote wanajua kuwa tulikuwa na kiongozi mwehu na kichaa. Watafuteni akina Butiku na Wasira watawapa habari.
 
Wazee wengi sana wa CCM ni wanafiki sana ila wote wanajua kuwa tulikuwa na kiongozi mwehu na kichaa. Watafuteni akina Butiku na Wasira watawapa habari.
Na mimi naongezea hata huyo Diallo ni kichaa kwa nini hakuachia nafasi yake kipindi cha kichaa hivyo na yeye alikuwa au mpaka sasa ni kichaa
 
Wazee wengi sana wa CCM ni wanafiki sana ila wote wanajua kuwa tulikuwa na kiongozi mwehu na kichaa. Watafuteni akina Butiku na Wasira watawapa habari.
Na mimi naongezea hata huyo Diallo ni kichaa kwa nini hakuachia nafasi yake kipindi cha kichaa hivyo na yeye alikuwa au mpaka sasa ni kichaa
 
Humu utatukanwa na kudhihakiwa na walotumwa kuua legacy ya JPM, shujaa kalala usingizi wa milele lakini mashoga, wauza ngada, mafisadi na wazembe bado wanaweweseka, mwanasiasa anayetaka kufa kibudu kisiasa asimame jukwaani amdhihaki JPM kama anajiamini aone kitachomtokea.
 
The problem with CCM sycophants is that they don't want to be told the honest truth.

It is undisputed facts that the late JPM went astray in his leadership.

He always beguiled Tanzanians that he's the best leader & begged to be considered a God's messenger sent from heaven to lead Tanzanians something which is not.

I know CCM sycophants don't want to hear the truth but must be told.
 
Kama Diallo angejivua cheo hicho kipindi cha kichaa na kusema hayo leo tungemuelewa.
Yaani anafanya kitu ambacho na yeye ni mshiriki
Nani alikuwa na uwezo wa kuyasema haya wakati huo..!? Ya kurudisha maduka ya fedha za kigeni si ni sawa na haya..!? Kumrudishia Mbowe hela zake kuna tofauti gani na haya,,!? Alichosema Ndugai kuhusu bandari ya Bagamoyo si sawa na haya..!? RAIS aliposema KUTIBU MAJERAHA, ulielewa nini!? Acheni unafiki semeni UKWELI, maana utawaweka huru
 
Kwa bandiko hili mataga mjitafakari sana kama kweli mnaweza kuendelea kuendesha nchi..wakati wewe ukimshaangaa Anthony Diallo mimi nakushangaa wewe kwa kutokushangaa inakuaje mtu mwenye uozo wa kupitiliza bado anaendelea kutumikia nafasi za juu ndani ya chama

Chama chenu ndivyo kilivyo hawana watu mbadala tofauti na nyie. Mwenzako analia kwa sababu mmempunguzia kipande cha mkate na wewe endelea na kujiona mzalendo kisa unamtetea katibu wenu wa UVCCM.

Eti uzalendo wa katibu ni kumkosoa mtu anayesema ukweli kuhusu mataga!!. Kwa hiyo kwenu uzalendo ni kusifia serikali yenu?
 
Kaongea ukweli mtupu ila wamejaribu kumtekenya kaanza kuukana ukweli mara anamanisha wakati ujao.
Kwani uzee huwafanya hivi na wengine?
Wametekenya mbavu kaanza kuingiza mkia katikati ya miguu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…!!! Aulize kilichomtokea Sumaye baada ya kujitia msaliti maniner!

Bila support ya CCM wakimuanzishia spana haitaisha miezi 6 star tv na redio free yatakuwa makazi ya popo!
 
Mpasuko ndani ya CCM is coming soon

Diallo amesema ukweli, jamaa alikuwa kiongozi muovu na katili. Sana sana tunawashauri muanze mchakato wa kumvua uanachama maana ni mchafu mwenzenu, na huo ni ushahidi kuwa huko kwenye Chama chenu hakuna uhuru wa kutoa maoni.
 
KWANGU MIMI #Yona IWE ANTHONY #DIALO AMEFANYA KOSA AU HAJAFANYA KOSA, ILA KUNA FUNZO KUBWA KWANGU NA NI FUNZO KWA VIONGOZI Naa Joseph #Yona

#DIALO ambaye mwaka 2015 alikuwa mjumbe wa vikao vya CCM, vilivyompitisha Mgombea Urais wa Chama hicho Dola Milele, mbaya zaidi #Dialo kama mjumbe akapitisha mwenye Faili na akakaa kimyaa.

#Dialo huyo huyo akiwa amempitisha mgombea huyo, akagundua media nyingi hazimmuliki na kumuandika mgombea wake huyo, akaamua kutumia Rasilimali zake za vyombo vya habari bila kujali hasara ya kibiashara akamtangaza mgombea huyo na akashinda Urais, kwa mujibu wa Dialo aliweka pembeni faili la Milembe akajitoa ufahamu akampambania.

Baada ya ushindi Rais akaapishwa akaanza kazi ya kushughulika pamoja na mengi kubwa ni Mafisadi, Wezi na wabadhirifu, lakini #Dialo yeye aliamini kwa kuwa amempitisha kwenye vikao, akatumia Media zake kumpamba, kwa kuwa ni Msukuma mwenzake, wametoka kanda moja na ana kinga ya uongozi akajua hataguswa, lakini Rais huyo akaamua kusimamia haki bila ubaguzi wa ukabila, ukanda, uchama na upendeleo wa Media akanyoosha Rula na #DIALO Akajikuta kanaswa, hapo ndo #Dialo akaanza kuirundika nyongo rohoni na Nyongo ikawa kali zaidi ya nyongo ya Kobra.

Hivyo #Dialo ametoa Nyongo, na nyongo ina mambo mengi usipojizuia unaweza kuongea na kuongeza Chumvi, pilipili, Nyanya, Bamia nk kwa muonekano #Dialo alikuwa na hasira asitegemee kuguswa na Swahiba wake, kumbe Swahiba ni mnyoosha rula haangalii kabila, Dini, Rangi, ukanda, Msaada wako nk.

#Funzo Nimejifunza kwenye haki nyoosha Rula, usiangalie mtu usoni.

Asanteni.
 
Vijana acheni kujipendekeza,mtatendwa vibaya.
Muda uliotumia kuandika hii makala,ungekuwa umeshajiingizia kipato halali kizuri tu.

Mwanzo 3 : 17 - 19
"17. Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
18 .michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
19.kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…