Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli dogo hana uzoefu alafu pumzi inakatata mapemaIla huyu Joshua bado...japo kashinda....siwezi kumuweka kwenye ranks za wababe
Ni kweli, bado hajaiva vya kutosha. Sioni kama anachance yeyote ya kumshinda bingwa mtetezi wa WBC Deontany Wilder.Huyu dogo kashinda ila alikua anazingua kinyama
Wazazi wake wanatokea Nigeria the greatest country in Africa, though amekulia UK.Sasa huyu AJ naona ana tatoo ya Africa lakini hata kuitaja tu kashindwa.
Mkuu AJ bado kumfikia Wilder inabidi kwanza apite kwa Furry na wengine kabla ya.Ni kweli, bado hajaiva vya kutosha. Sioni kama anachance yeyote ya kumshinda bingwa mtetezi wa WBC Deontany Wilder.
Tusubiri akipige na Tyson Fury,Hata na babu naye ashukuru kuwa ile mikono heavy haijaambatana na uzoefu otherwise babu angefia ulingoni. Dogo hajui kusave pumzi, akifyatuka anakuja mazima. Leo ndio mara yake ya kwanza kuvuka round ya 6
Hujui huu mchezo Wewe. Joshua tangu anaanza alishapanga katika round ya 11 ndo ampige Klitschko'sHuyu dogo kashinda ila alikua anazingua kinyama
Boxing: Anthony Joshua - Wladimir Klitschko mimi nimekamua mpambano wote hapoMdogo wangu upo. Youtube wanazingua aisee
11 kamtoaHajamtoa
Kweli mkuu pale alipodondoka huyu Vladmir kafanya uzembe coz dogo alishakata moto, ilikua ni kitendo cha kumshindilia mpaka aheme. Dg yuko vzr lakin punch za tyson bado hajazifikia. Ila huyu mzee naye ni too much left handed mpaka inampunguzia ufanisi. Hahahaaa brother ake alikua anatia huruma pale nje mdogo wake wakati akitwangwa kichapo kizito round ya 11Ni kweli dogo hana uzoefu alafu pumzi inakatata mapema
Pia hajui namna ya kujilinda aisee
Pale alipodondoka vladimir angeongeza nguvu jidogo angemaliza gemu sema uzee umechangia
Kwanini mkuu?Hii gemu imeniuma sana