Anthony Joshua vs Francis Ngannou.....

Nasubiria analysis kutoka kwa mwanangu mtaalam wa boxing
Ndy ni cmnt,tia neno mwanangu

Ova
@hancemtanashati
 
πŸ˜„

Ova
 
Mma asilimia kubwa wanatumia mateke na kabali kuliko ngumi .

Mma ni mchezo wa kikatili sana , fury na Joshua wakicheza lazima wapigwe ko na ngannou mwana wa Cameroon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…