Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.


Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"


Source: Jambo TV
 
Kuna kipindi binadamu hujimilikisha nafasi ya Muumba kuanza kutoa hukumu ya wengine kufa tena kwa kupigwa mpaka wafe na au kupotezwa

Na ukiangalia chanzo cha hukumu hiyo ni cha kipuuzi saana, ajabu kuna wanaosababishia watu kufa kwa kukosa madawa kwa kufisadi pesa, wao wanaendele kula maisha kwa raha zao ilihali kuna maelfu ya watu wakifa kwa kuokosa huduma mahosipitarini, wao wakiugua wanapishwa ndege kwenda ambako hakuna ufisadi na kuna huduma nzuri
 
Kuna kipindi binadamu hujimilikisha nafasi ya Muumba kuanza kutoa hukumu ya wengine kufa tena kwa kupigwa mpaka wafe na au kupotezwa

Na ukiangalia chanzo cha hukumu hiyo ni cha kipuuzi saana, ajabu kuna wanaosababishia watu kufa kwa kukosa madawakisa wamefisadi pesa, wao wanaendele kula maisha kwa raha zao ilihali kuna maelfu ya watu wakifa kwa kuokosa huduma mahosipitarini, wao wakiugua wanapishwa ndege kwenda ambako hakuna ufisadi na kuna huduma nzuri
Ndiyo CCM inataka hivyo watu wafe yenyewe ipige pesa
 
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"

Source: Jambo TV
Umenikumbusha zamani nilikuwa natumia magazeti chooni kabla sija staarabika
 
Hiyo picha ya Rais, kuna wasio na uwezo wa kununua toilet paper wanachambia kwenye vichaka.

Hawa waliomshtaki yule kijana kwa kuichana hiyo picha, hakimu aliyetoa ile hukumu ya kipuuzi na hao mashetani waliomteka Chaula, ni hayawani ambao wanatafuta damu za watu kwa kutafutiza makosa ya kutengenezwa. Washenzi sana hawa watu, ni aheti haya majitu yasingelizaliwa. Tanzania imekuwa mbaya, imekuwa mahali pasipo salama kutokana na haya mashetani.
 
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"

Source: Jambo TV
Japo sio tabia njema lakini kutekwa na kuuawa ni Extremism ya hatari
 
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"

Source: Jambo TV
Kenya inaweza kuwa na amani kwa miaka 100 ijayo lakini sio Rwanda sio Uganda.

He saidi the Truth
 
Back
Top Bottom