Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

- Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"


Source: Jambo TV
KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.

PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
 
KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.

PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
Umeandika vitu visivyoeleweka
 
Katekwa na majambazi na majangili wanataka milioni 3 kama fidia(ransom).

Hii mijambazo itafutwe popote ilipo....
 
KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.

PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
Hakika [emoji7]
 
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

- Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"


Source: Jambo TV

Ingawa anachoongea kina mantiki kabisa, lakini najiuliza, huyu huyu aliwahi kusema chochote walipopotea watu kipindi cha Mwendazake?
 
Back
Top Bottom