Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Bado anakusanya kwanza akishashida na yeye atasema ukweliJe mwamposa yeye anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado anakusanya kwanza akishashida na yeye atasema ukweliJe mwamposa yeye anasemaje?
Ukweli huwa unatabia ya kujitenda ndio maana umeona DC wa Longido na Nape nauye wameutaja. Ndio asili yake.Huyu mzee siku hizi naanza kumuelewa yuko vizuri kwa hoja.
Sahih kabisa.Ukweli huwa unatabia ya kujitenda ndio maana umeona DC wa Longido na Nape nauye wameutaja. Ndio asili yake.
Haters as usualHe should have to learn how to speak like a politician,i.e .... saying a lot and meaning nothing
Sasa risk Gani wakati huo ndio UKWELI,Hajajiweka kwenye risk yeyote kwa kusema hivyo? eti wajuvi?
KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.Wakuu habari za muda huu.
Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.
- Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee
Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.
"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"
"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"
Source: Jambo TV
Umeandika vitu visivyoelewekaKIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.
PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
Hakika [emoji7]KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.
PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
inategemea uelewa wako ukoje na elimu yako ikoje.Umeandika vitu visivyoeleweka
Endeleeni kuteka watu laana zitawaandamainategemea uelewa wako ukoje na elimu yako ikoje.
Jambazi hawezi kuteka jambazi mwenziweKatekwa na majambazi na majangili wanataka milioni 3 kama fidia(ransom).
Hii mijambazo itafutwe popote ilipo....
Wakuu habari za muda huu.
Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.
- Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee
Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.
"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"
"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"
Source: Jambo TV
😆😆😆😆😆😆Mwamba kama hajapiga paba huwa yupo vizuri sn
Tumuombee😆😆😆😆😆😆