Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Anthony Lusekelo: Mtu amechana tu picha ya Rais, ametekwa

Mwamba kama hajapiga paba huwa yupo vizuri sn
Kusema katekwa sababu ya kuchana picha ya Raisi muongo

Wazazi wake wanasema watu waliomteka wanataka walipwe pesa ili mwachie

Kutekwa kwa watu kutaka pesa kuna uhusiano gani na kuchana picha ya Raisi?
Lusekelo ana ushahidi huo wa kutekwa sababu ya kuchana picha ya Raisi?
 
KIONGOZI WA DINI UNATAKIWA UWE NA BUSARA SIYO KUROPOKO BILA USHAIDI.
KUNA WAJANJA WANAWEZA KUICHAFUA SERIKALI KWA KUTUMIA ILE WEAKNESS YA POLICE NA MAHAKAMA WALIYOTUMIA
KUMSHTAKI YULE DOGO .LAKINI PIA INAWEZA KUWA FURSA KWA WATEKAJI KUJIPATIA FEDHA KWA HILA.

PIA HATA WAPINZANI WANAWEZA KUMTEKA MAKUSUDI KABISA ILI WAJIPATIE SABABU ZA KUISEMA VIBAYA SERIKALI KISIASA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI.KAMA WAPINZANI WALIWEZA KUMCHANGIA 5 MILIONI ,PIA WANAWEZA KUMTEKA KWA USALAMA KABISA ILI SERIKALI ICHAFUKE.CHA KUFANYA NI POLICE KUFANYA UPELELEZI KAMA WA MOSSAD.
Pia huyo dogo aweza jiteka
Ile hela mahakamani milioni tano iliyolipwa aweza kuwa aliiona nyingi akaona asuke misheni ili wale waliomhurumia wakalipa milioni tano ili atoke jela akiamini kuwa wataweza pia kulipa kumkomboa kwenye kutekwa hewa huko apate hapo hela maana kaona kuna watu wazito wenye pesa walimhurumia wakalipa mamilioni kuwa watajitokeza tena kulipa

yawezekana pia hilo

Nafikiri maadamu limesharipotiwa polisi ukweli utajulikana .Uzuri polisi wataangalia kila angle kujua ukweli wa huyo mtaka hela nani huyo?

Nafikiri ni vizuri kabla Lusekelo kuingia studio apimwe kwanza kama hajadudumia bapa la konyagi kubwa au ndogo
 
Kusema katekwa sababu ya kuchana picha ya Raisi muongo

Wazazi wake wanasema watu waliomteka wanataka walipwe pesa ili mwachie

Kutekwa kwa watu kutaka pesa kuna uhusiano gani na kuchana picha ya Raisi?
Lusekelo ana ushahidi huo wa kutekwa sababu ya kuchana picha ya Raisi?
Angekuwa ametekwa mumeo nadhani akili ako ingekaa sawa, kwanini polisi wasiwakamate hao wanaomba pesa?
 
Wakuu habari za muda huu.

Uwanja wa siasa Tanzania umeanza kuchangamka na hii ni baada ya mchungaji maarufu kutoka Tanzania, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee Wa Upako kugusia sakata la Shadrack Chaula (24) kushtakiwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia.

- Anthony Lusekelo: Tuache nchi ipumue, watu waongee

Mchungaji Lusekelo akiwa anaongea hivi karibuni kwenye mahojiano na Jambo amehoji maswali magumu kuhusu kijana aliyechoma picha ya Rais Samia.

"Kama kuna sheria za utekaji zimo katika biblia na kupiga watu...poteza watu zipo hata katika biblia lakini nani mlengwa?"

"Huyu mtu ambaye tu amechana tu picha ya Rais peke yake ndiyo mlengwa huyo, na ameshtakiwa na amelipa faini, picha ya Rais si ipo kwenye magazeti, wanafungia magazeti kwenye nyama, kwenye chipsi, ingine ipo kwenye gazeti mtu amechukua gazeti ametupa kule ina picha ya Rais"


Source: Jambo TV
Huyo asipogusa ugimbi huwa yuko njema
 
Kuna kipindi binadamu hujimilikisha nafasi ya Muumba kuanza kutoa hukumu ya wengine kufa tena kwa kupigwa mpaka wafe na au kupotezwa

Na ukiangalia chanzo cha hukumu hiyo ni cha kipuuzi saana, ajabu kuna wanaosababishia watu kufa kwa kukosa madawa kwa kufisadi pesa, wao wanaendele kula maisha kwa raha zao ilihali kuna maelfu ya watu wakifa kwa kuokosa huduma mahosipitarini, wao wakiugua wanapishwa ndege kwenda ambako hakuna ufisadi na kuna huduma nzuri
 
Back
Top Bottom