Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde amempongeza Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa jitihada kubwa za kuharakisha utiaji saini wa Mkataba wa ujenzi wa Bomba la Mafuta la Hoima - Tanga. Maana Mradi huo utatoa ajira zaidi ya elfu kumi na tano (15,000) kwa Watanzania.
Hivyo basi Mhe. Mavunde ameitaka Wizara ya Nishati kutoa Matangazo ya kuonyesha fursa zipatikanazo katika mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta la Hoima - Tanga ili watanzania waweze kujiandaa Katika kukamata fursa hizo
Pia, Mhe. Mavunde ameiomba wizara ya Nishati kuangalia namna watakavyo toa fursa kwa wajasiliamari wadogo wadogo Kama mamalishe (Wanawake) na vijana ambapo mradi huo unapita waweze kupata fursa za kufanya biashara zao.
#KAZIINAENDELEA
Hivyo basi Mhe. Mavunde ameitaka Wizara ya Nishati kutoa Matangazo ya kuonyesha fursa zipatikanazo katika mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta la Hoima - Tanga ili watanzania waweze kujiandaa Katika kukamata fursa hizo
Pia, Mhe. Mavunde ameiomba wizara ya Nishati kuangalia namna watakavyo toa fursa kwa wajasiliamari wadogo wadogo Kama mamalishe (Wanawake) na vijana ambapo mradi huo unapita waweze kupata fursa za kufanya biashara zao.
#KAZIINAENDELEA