Anthony Mavunde: Watu 34 wamehodhi eneo lenye ukubwa mara 12 ya Dar es Salaam

Anthony Mavunde: Watu 34 wamehodhi eneo lenye ukubwa mara 12 ya Dar es Salaam

Wana kauli nyingi sana hawa

20240326_180241.jpg
 
Yule Nabii wa Arusha alitabiri Gwajima atakuwa rais.
Halafu sijui litatokea jambo gani sasa. Mungu amebadili mawazo Yake.
Kwa sababu yule Nabii anatabiri sasa kwamba Jeshi litapindua serikali.
 
Ni maeneo nchi mzima yenye viashiria kwa uwepo wa madini.Sio eneo moja jamani
 
Yule Nabii wa Arusha alitabiri Gwajima atakuwa rais.
Halafu sijui litatokea jambo gani sasa. Mungu amebadili mawazo Yake.
Kwa sababu yule Nabii anatabiri sasa kwamba Jeshi litapindua serikali.
Nabii anabadili tabiri kama odds za mhindi
 
Back
Top Bottom