Anthony Mtaka mbona kwa Ummy Mwalimu umenywea? Ulisema utasimamia unachokiamini

Anthony Mtaka mbona kwa Ummy Mwalimu umenywea? Ulisema utasimamia unachokiamini

Ana hoja zipi? Haya ummy mwalimu kapiga marufuku mbona yupo kimya?
Lengo kubwa la Kambi ni ku(cover) pale ambapo Wanafunzi hawakufundishwa kwa sababu ya changamoto ya Walimu, Wote tunatambua upungufu wa Walimu wa kwa baadhi ya masomo, hivyo kuwakusanya pamoja Wanafunzi ni kuwafanya wapate nafasi ya kujifunza kile wanachokikosa..
Anyway ...za kuambiwa changanya na zako.
 
MTU Mwenye Busara na Hekima huomba msamaha.

Ndio maana baada ya kutambua kosa lake, aliomba Radhia sio tu kwa Waziri, Bali kwa Wananchi.
Kiongozi yoyote mwenye busara huchagua maneno ya kuongea kabla,kuomba radhi hakumuondolei uhalisia wake.Hafai hata kuwa viongozi wa umma basi tu mifumo yetu mibovu ina mbeba.
 
Sawa watoto wa mabosi mnasoma shule za international, waacheni wa shule za kayumba nao wafanikiwe,,

Watafanikiwa tu, hata mkiwawekea vizingiti
Jamaa wanahasira hawa, kusoma hakuna ila mapenzi ruhusa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

WaTz safari hii watajua hawajui....
 
Tatizo anasumbuliwa na nature ya kabila lake la Wajita,amejaa majivuno sana anadhani akiwa Mkuu wa Mkoa basi yeye ndio kila kitu. Pale Magufuli alipo msifia basi anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko watu wote.
Aisee, mambo ya Mtaka yamekuwa ya wajita wote. Tutake radhi tafadhali.
 
Tatizo anasumbuliwa na nature ya kabila lake la Wajita,amejaa majivuno sana anadhani akiwa Mkuu wa Mkoa basi yeye ndio kila kitu. Pale Magufuli alipo msifia basi anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko watu wote.
Kazi kujaza vitabu kama mlima ofisini kwake kwenye meza ya kufanyia kazi, ili sijui watu wamuone kama vile anasoma sijui!!

Huyu jamaa ni mshamba sana na anamajivuno mnoo!! Hopeless kabisa!!

Tumuone anyanyue mdomo wake kwa Ummy sasa kama alivyofanya kwa Ndalichako tuone jeuli yake.😆😆🐒
 
Mtaka ulitokea hadharani kupinga, kumshutumu na kumuaibisha waziri wa elimu Prof.Ndalichako kwa sababu ya kuzuia makambi.

Ukaenda mbali kwa kusema unapuuza maagizo yake na utafanya vile mkoa wa Dodoma mnataka kufanya.

Sasa hivi kauli ya Ndalichako imetolewa na Ummy Mwalimu, na kapiga marufuku hayo makambi na masomo wakati wa likizo.

Vipi mbona kimya? Unahofia nini ikiwa ulisema utasimama kutetea Jambo hilo la makambi na masomo ya ziada wakati wa likizo?
Tuseme unamhofia na kumuogopa Ummy Mwalimu?

Ule umwamba ulioonyesha wakati ule na kuwaambia wazazi wasimsikilize waziri kwa kuwa Watoto wake wanasoma shule za ada mil 10, mbona Sasa haupo?

View attachment 2035908
Mataka alimaliza ngwe yake,wenye akili tulimuelewa ni kiongozi wa aina hipi, ujumbe wake ulitufikia vizuri sana.
 
Lengo kubwa la Kambi ni ku(cover) pale ambapo Wanafunzi hawakufundishwa kwa sababu ya changamoto ya Walimu, Wote tunatambua upungufu wa Walimu wa kwa baadhi ya masomo, hivyo kuwakusanya pamoja Wanafunzi ni kuwafanya wapate nafasi ya kujifunza kile wanachokikosa..
Anyway ...za kuambiwa changanya na zako.
Kama changamoto ni uhaba wa walimu kwa nini asipendekeze walimu wapya kuajiriwa? Badala ya hayo makambi?
 
Kama kuna kipindi Mtaka alichemka na kushusha heshima aliyojenga ni kipindi kile.

Kwanza alitumia lugha mbovu isiyo ya kiustaarabu

Pili alimdharau Waziri mwenye dhamana ya sera ya elimu, kwa lugha nyingine alidharau mamlaka ya juu na vyombo(establishment) vilivyo mpa mamlaka ya kusimamia sera ya elimu

Tatu alikosa busara ya kuelewa hata mazingira ugonjwa wa UVIKO aliouongelea Waziri

Nne alivunja maadili ya viongozi wa umma, alitakiwa awasiliane naye au kutoa ushauri kwa platforms zinazokubalika kiserikali badala ya kwenda public au angejiuzuru kama anaona sera ya serikali inawalakini
Ndo visingizio hivo hivo kila siku miaka ya 60 ya uhuru tunahangaika na vyoo, madawati na madarasa... eti amri... ujinga hautetewi kwa woga wala kujifichaficha... mm nmefauli kwa tuition... bila hivo ncngekuwa hapa nlipo leo... shule za kata walimu hamna na waliopo ni wachache na kat yao wengine kufundisha ni shida... hivo lazima kusaka knowledge mahali pengine...
 
Back
Top Bottom