Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Lengo kubwa la Kambi ni ku(cover) pale ambapo Wanafunzi hawakufundishwa kwa sababu ya changamoto ya Walimu, Wote tunatambua upungufu wa Walimu wa kwa baadhi ya masomo, hivyo kuwakusanya pamoja Wanafunzi ni kuwafanya wapate nafasi ya kujifunza kile wanachokikosa..Ana hoja zipi? Haya ummy mwalimu kapiga marufuku mbona yupo kimya?
Kiongozi yoyote mwenye busara huchagua maneno ya kuongea kabla,kuomba radhi hakumuondolei uhalisia wake.Hafai hata kuwa viongozi wa umma basi tu mifumo yetu mibovu ina mbeba.MTU Mwenye Busara na Hekima huomba msamaha.
Ndio maana baada ya kutambua kosa lake, aliomba Radhia sio tu kwa Waziri, Bali kwa Wananchi.
Jamaa wanahasira hawa, kusoma hakuna ila mapenzi ruhusa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa watoto wa mabosi mnasoma shule za international, waacheni wa shule za kayumba nao wafanikiwe,,
Watafanikiwa tu, hata mkiwawekea vizingiti
Aisee, mambo ya Mtaka yamekuwa ya wajita wote. Tutake radhi tafadhali.Tatizo anasumbuliwa na nature ya kabila lake la Wajita,amejaa majivuno sana anadhani akiwa Mkuu wa Mkoa basi yeye ndio kila kitu. Pale Magufuli alipo msifia basi anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko watu wote.
Kazi kujaza vitabu kama mlima ofisini kwake kwenye meza ya kufanyia kazi, ili sijui watu wamuone kama vile anasoma sijui!!Tatizo anasumbuliwa na nature ya kabila lake la Wajita,amejaa majivuno sana anadhani akiwa Mkuu wa Mkoa basi yeye ndio kila kitu. Pale Magufuli alipo msifia basi anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko watu wote.
Mataka alimaliza ngwe yake,wenye akili tulimuelewa ni kiongozi wa aina hipi, ujumbe wake ulitufikia vizuri sana.Mtaka ulitokea hadharani kupinga, kumshutumu na kumuaibisha waziri wa elimu Prof.Ndalichako kwa sababu ya kuzuia makambi.
Ukaenda mbali kwa kusema unapuuza maagizo yake na utafanya vile mkoa wa Dodoma mnataka kufanya.
Sasa hivi kauli ya Ndalichako imetolewa na Ummy Mwalimu, na kapiga marufuku hayo makambi na masomo wakati wa likizo.
Vipi mbona kimya? Unahofia nini ikiwa ulisema utasimama kutetea Jambo hilo la makambi na masomo ya ziada wakati wa likizo?
Tuseme unamhofia na kumuogopa Ummy Mwalimu?
Ule umwamba ulioonyesha wakati ule na kuwaambia wazazi wasimsikilize waziri kwa kuwa Watoto wake wanasoma shule za ada mil 10, mbona Sasa haupo?
View attachment 2035908
Kama changamoto ni uhaba wa walimu kwa nini asipendekeze walimu wapya kuajiriwa? Badala ya hayo makambi?Lengo kubwa la Kambi ni ku(cover) pale ambapo Wanafunzi hawakufundishwa kwa sababu ya changamoto ya Walimu, Wote tunatambua upungufu wa Walimu wa kwa baadhi ya masomo, hivyo kuwakusanya pamoja Wanafunzi ni kuwafanya wapate nafasi ya kujifunza kile wanachokikosa..
Anyway ...za kuambiwa changanya na zako.
Budget unayo?Kama changamoto ni uhaba wa walimu kwa nini asipendekeze walimu wapya kuajiriwa? Badala ya hayo makambi?
Kwani unatakaje mkuu?Sijui nia yake, Ila Mimi nimehoji tu mbona kwa Ummy Mwalimu kakaa kimya? Anamuogopa?
Okay...wewe uko sahihi yeye hakuwa sahihiIla budget ya kuwaweka walimu wakati wa likizo unayo?
Ukijua ndio itakuaje sasa?! Kwani wewe unataka ya anthony au ya waziri?!!Kujua anamuogopa au hamuogopi
Mtaka MTU wa system Mwenye akili zake.
Ni Tunu kwa Taifa !!.
Mwacheni .
Ndo visingizio hivo hivo kila siku miaka ya 60 ya uhuru tunahangaika na vyoo, madawati na madarasa... eti amri... ujinga hautetewi kwa woga wala kujifichaficha... mm nmefauli kwa tuition... bila hivo ncngekuwa hapa nlipo leo... shule za kata walimu hamna na waliopo ni wachache na kat yao wengine kufundisha ni shida... hivo lazima kusaka knowledge mahali pengine...Kama kuna kipindi Mtaka alichemka na kushusha heshima aliyojenga ni kipindi kile.
Kwanza alitumia lugha mbovu isiyo ya kiustaarabu
Pili alimdharau Waziri mwenye dhamana ya sera ya elimu, kwa lugha nyingine alidharau mamlaka ya juu na vyombo(establishment) vilivyo mpa mamlaka ya kusimamia sera ya elimu
Tatu alikosa busara ya kuelewa hata mazingira ugonjwa wa UVIKO aliouongelea Waziri
Nne alivunja maadili ya viongozi wa umma, alitakiwa awasiliane naye au kutoa ushauri kwa platforms zinazokubalika kiserikali badala ya kwenda public au angejiuzuru kama anaona sera ya serikali inawalakini
Vzuri umejipambambanua ulivyo. Badilika.Itakua Kama ilivyo Sasa. Mimi nataka yako hiyo ya duara