Mwenyezi mungu atakusaidia yeye ni mwenye huruma ukimlilia kwa imani atakutoa utumwani humo pole mr bilali anza kujiponya mwenyewe kwa kumkataa pepo huyo mwambie mungu mwite mlilie nae atakuinulia macho inshallar.
Umemsomaa vyema madame b, anasema eti ana bwana wake mzanzibari amempiga kibuti, sasa anatapa tapa. Huyu kweli si wa kuacha ila naona maisha yanampiga baada ya kuachwa ndo maana anatapa tapa
Ndo manaake mwaishe hospitali akatibiwe kijambio
Akhaaa...
Mie ndo nimpeleke Hospitali?
Akawafate mashoga wenzake akina Anti Pozi a.k.a kijana wa Matashtiti ndie ampeleke hospitali.
Mie yangu yananishinda,nimekaa popo kanyea mbingu, sembu yake!!
Soko ndo lishaisha,
amekumbuka shuka kushakucha!
Aje Lango la jiji mi meneja hapa aulize ankal Tiqo Tiqo
Huyu hata akipelekwa kwa mganga ataishia kumjambia tu maana ana pepo la kutobolewa kiboga
Anasema yeye kwa hadhi yake sio wa kukesha Lango la Jiji.
Pale kunawafaa mishangingi iliyoshindikana Magomeni na mishoga yao akina Ant Asu, Ant Ammy, Ant Sau, Ant Pozi, Ant Mau etc.
TIQO, Kumbe wewe ndio yule meneja ulieshindwa kumdhibitibi Mzee Lyimo mpaka Mariam akamsababishia kifo kakake Abuu wa Migo kwenye chips tamu.
Au unajipa promo ili mishangingi tukufate tuingie bure!
Mweeeh!
Makubwa afu babukijana hujaniambia ulikuwa unaishi kwa kina Chacha gani.
Khaa!
Una lako jambo.
midhambi niliyokuwa nayo tu nafungua kitabu kipya cha katiba, uniongezee na ya ant bilal si unanitafutwia dhahma we sexologist!
Si unajua nina hamu ya kusutwa na mahasimu wangu akina c.t.u!
Mie bilali namjua ukucha to unywele,
ukwapa to upapa.
Lolz.