Lawama zimeanza kua nyingi kuanzia bulawayo hadi harare,
Wachunguzi na watafiti mbalimbali wametupia lawama Kwa polisi wa zimbabwe hasa wa kitengo maalumu cha kuzuia uhalifu Kwa utekaji na utesaji wa wananchi.
Rushwa imetajwa pia kua ukikamatwa wakiomba pesa wakanyimwa, au wakakosa utapigwa mpaka ufe na kutupwa kusikojulikana.
Wazimbabwe wamemuomba Rais Emerson Munangwagwa kulifuatilia suala hilo Kwa karibu na ikiwezekana kutoa muongozo wa kitengo hicho maana kimeonekana kunyanyasa Raia na kua juu ya sheria kuliko kawaida,,
Inasikitisha sana tuwaombee wazimbabwe Kwa wanayopitia
Wachunguzi na watafiti mbalimbali wametupia lawama Kwa polisi wa zimbabwe hasa wa kitengo maalumu cha kuzuia uhalifu Kwa utekaji na utesaji wa wananchi.
Rushwa imetajwa pia kua ukikamatwa wakiomba pesa wakanyimwa, au wakakosa utapigwa mpaka ufe na kutupwa kusikojulikana.
Wazimbabwe wamemuomba Rais Emerson Munangwagwa kulifuatilia suala hilo Kwa karibu na ikiwezekana kutoa muongozo wa kitengo hicho maana kimeonekana kunyanyasa Raia na kua juu ya sheria kuliko kawaida,,
Inasikitisha sana tuwaombee wazimbabwe Kwa wanayopitia