Antibiotiki Azuma

Mnawezaje kidonge kikubwa kama jiwe
Nilipataga nimonia nikapewa vi3.
Sku ya kwanza kikanasa kwenye ulimi,, nikatoa nikaachwa na kunywa.

Nikamcheck dr anibadilishie dawa
Nikapewa sindano.
 
Salamu Azuma, umejaa tiba,
Uponyaji u nawe.
Umebarikiwa kuliko dawa zote,
na mgunduzi, wa formula yako, amebarikiwa.
Azuma antibiotiki, Mtibu wa magonjwa,
utuponye sisi wagonjwa
sasa na saa ya kuugua kwetu.
Amina.
Weird
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…