Antibiotiki Azuma

Antibiotiki Azuma

Mnawezaje kidonge kikubwa kama jiwe
Nilipataga nimonia nikapewa vi3.
Sku ya kwanza kikanasa kwenye ulimi,, nikatoa nikaachwa na kunywa.

Nikamcheck dr anibadilishie dawa
Nikapewa sindano.
 
Back
Top Bottom