Mwenyewe nafanya ila kuna kuda nikiwa home kale kaharufu ka wali kananipitia wakati mtoto anakula basi na mie napakua kidogo kwenye sahani nakula. Ila diet imenipunguza kiloHapana ila ukitaka kupungua fasta (mimi nilipunguza 10kgs kwa mwez mmoja )acha kabisa sukari na vyakula vya wanga ,,acha vyakula vya viwandan na mafuta haya mf. korie ,, ukiwa na hamu na ugali tumia dona,,wali tumia brown rice,, acha matunda yenye sukari kazi ,,kuzuia njaa unawez tumia karanga,almond n.k
Diet inafanya kazi haraka sana kuliko dawa na mazoezi
Watu wanavyotoa ushauri eti "upunguze kula vitu vya mafuta ule mboga mboga" wanadhani ni easy hivyo kuacha kula ni balaaEti uache kula.unawezaje eti
Ahahaaa tule mboga za majani kwani sie mbuzi?Watu wanavyotoa ushauri eti "upunguze kula vitu vya mafuta ule mboga mboga" wanadhani ni easy hivyo kuacha kula ni balaa
Yan unaweza kujitahidi siku moja tu ya pili mambo yakakushinda ukajikuta unafakamia nyama ya mbuzi rosti
Ahahaaa utaachaje kula mchele kwa mfanoMwenyewe nafanya ila kuna kuda nikiwa home kale kaharufu ka wali kananipitia wakati mtoto anakula basi na mie napakua kidogo kwenye sahani nakula. Ila diet imenipunguza kilo
Mimi saa nyingine hata sina njaa ila uroho unanimaliza. Nikisikia harufu ya wali nakua kama nimetoka SomaliaKula mlo kwa mpangilio sio kuacha kula kabisa jizoeshe utaona utapata shida kwa siku 3-4 za mwanzo baada ya hapo utajiona uko sawa kabisa
Huwa najikaza tu nikishindwa najiliaAhahaaa utaachaje kula mchele kwa mfano
Aisee.Ahahaaa tule mboga za majani kwani sie mbuzi?
Ni ngumu saaaanaHuwa najikaza tu nikishindwa najilia
Mi nafanyaga hivyo hivyo hapo siko serious sana ila nashukuru Mungu zinadondoka kidogo kiloNi ngumu saaaana
Ahahaaa utaachaje kula mchele kwa mfano
Niambie love.hebu nitumie hizo dawa huko statesBaby J...
Chaaaaa ww hujapatwa n maradhi kwanza hahhahahaaaa mbona utadownload app zote za dietMimi saa nyingine hata sina njaa ila uroho unanimaliza. Nikisikia harufu ya wali nakua kama nimetoka Somalia
Hahhahhaaa dah nisivyopenda harufu ya wali huu wa mbeya nahis ndo nimenusurika hapoMwenyewe nafanya ila kuna kuda nikiwa home kale kaharufu ka wali kananipitia wakati mtoto anakula basi na mie napakua kidogo kwenye sahani nakula. Ila diet imenipunguza kilo
Nashukuru sijapata ugomjwa na sina unene mbaya basi tu kibonge. Siku kiuni kikiungana na mgongo ndo nitakua siriasiChaaaaa ww hujapatwa n maradhi kwanza hahhahahaaaa mbona utadownload app zote za diet
Heri yakoHahhahhaaa dah nisivyopenda harufu ya wali huu wa mbeya nahis ndo nimenusurika hapo
Hata papuchu ina side effect itakuwa dawa kaka?Mkuu uliponunua hawakukuuliza maswali vipi side effect zake zipoje maana naona watu wanatishana kweli