Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Itakuwa ile singo yake ya kuwapiga nyundo hao Clouds.
Na hivi katangaza kuhamia CHADEMA hawa CCM wanaweza zaa na yeye sasa hivi.
Nitaenda kuwashtaki kwa mganga wangu.... it seems is a serious case eeh, tutafikishana pabaya namna hii. Ndo maana sometimes rafiki yangu mmoja alikuwa ana-doubt kuandika hapa aikihoji usalama wa taarifa zake.
God Save Us