Antonio Conte, kocha mzuri anayeenda chelsea kudhalilika kwa tamaa ya pesa

Antonio Conte, kocha mzuri anayeenda chelsea kudhalilika kwa tamaa ya pesa

Mtoa Maada unakili za kindezi kweli bila ya Abromovich kutimua makocha Chelsea ingepata mafanikio aliyokuwa nayo sasa sio unakurupuka tu hiyo Arsenal ya Wenger Ina miaka mingapi wanalia na mataji
 
Mtoa Maada unakili za kindezi kweli bila ya Abromovich kutimua makocha Chelsea ingepata mafanikio aliyokuwa nayo sasa sio unakurupuka tu hiyo Arsenal ya Wenger Ina miaka mingapi wanalia na mataji
Utakula maneno yako .
 
Kuna kila dalili zinazoashiria Conte atatimuliwa muda si mrefu .
 
mbona mmejificha.

nataka kujua nani ana walakini wa nafasi yake kati ya Conte na Mou
Abramovic haangalii kushoto ama kulia , lengo lake ni ndoo tu , sasa conte akukuruke weee ! Lakini bila ndoo ni safari tu .
 
Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,

Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !

katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .

ubingwaaa!!! hv unawaza ubingwa hv ss? mbona bado mapema hasa kwa EPL
ila kuhusu top 4 sina wasi kabisa na Conte.
blue week[emoji838]
 
Mimi nasubiria Conte aje kupaki basi EPL, ila akija na formation yake ya 3-5-2 ataumbuka mapema sana.
Nahisi utakua umejua conte ni wa aina gan na hyo formation ndo imempa ubingwa sio kila ktu lazma uwze kw negatve way
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Huu ndio ukweli wenyewe , hakuna kocha aliyejenga heshima yake akiwa chelsea kama jose morinyo , lakini kila mwenye macho ameona jinsi alivyotupiwa vilago vyake kwenye mfuko wa rambo ,

Abramovic ambaye ndiye mmiliki wa chelsea hajui lolote kuhusu soka , hana uvumilivu na ni mtu anayetaka mafanikio kwa kasi ya radi , haiwezekani !

katika jambo lolote analolifanya mtu ili afanikiwe anahitaji consistency , haijawahi kuwa rahisi kupata mafanikio , conte hatatwaa ubingwa na anaweza asiwemo kwenye top 4 kwa msimu wake wa kwanza na baada ya hapo atadhalilika kwa kutimuliwa .
Wewe kama sio Gunners basi Red Devils,Conte katika msimu wake wa kwanza EPL amekuwa champion na mind u " a coach is hired to be fired" nyie endeleeni kuwa wavumilivu tuuuu!!!!!
 
Back
Top Bottom