Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kweli, ile club ina figisu mno
Watani zangu bora mngemwongezea wapau mkataba, jamaa aliipambania sana Yangamwamba kamaliza mkataba wake yanga kuanzia leo
Hivyo klabu inamtakia kila la heri
Naona wakat wa Haji manara sasa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app