Antonio Nugaz amaliza Mkataba wa kazi Yanga, Wamshukuru na kumuaga

Bado bumbuli jamaa lile historia yake tangu redio uhuru ni kutaka lionekane liko juu ya kila mtu hata juzi siku yao ya utopolo kuna siku atasema yeye ndo alijaza uwanja
Bumbuli keshapata salam.
Asante sana Nugaz hakika jina la msukule limetamalaki.
 
Reactions: mmh
Jamaa anajitambua sn..ni mtu smart sn Ila ndy hivyo ameumaliza mwendo jangwani

Alizeti FC huyo manara amekuja kuwafelisha Tu,soon mtakuja kulia kilio km watoto atakapomaliza misheni yake na Gharibu
 
Kunakitu hakipo sawa..
Tuliaminishwa watafanya kazi pamoja...
"Kuna sababu ya msingi kutomwongeza mkataba?"..
Je,atakuja mwingine
. Au ndio Manara atosha?

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Hii ilikuwa ni habari ya muda tu kufika, maana Manara anaweza nafasi ya usemaji na uhamasishaji.

Ushauri wangu kwa manara, anatakiwa ajue kuna kesho, asimalize maneno.

Kwa maana hiyo hata Bumbuli akae mkao wa kuondoka siyo?
 
Huwezi kufanya kazi sehemu milele
Hilo mlitambue nyie makolo

Sasa mbona Manara kutoka Simba mlikuwa mnasema kaonewa,kunya anye Kuku,akinya Bata kaharisha.Nugaz ameonewa,Manara umepeleka tafrani Utopoloni
 
Sasa mbona Manara kutoka Simba mlikuwa mnasema kaonewa,kunya anye Kuku,akinya Bata kaharisha.Nugaz ameonewa,Manara umepeleka tafrani Utopoloni
Sisi hatujamkashifu kwamba kasaliti ila Nugaz mkataba wake Umeisha na hatujaona haja ya kumuongezea ila ninyi makolo hata mkataba Manara wa kufanya kazi simba hajawahi kuwa nao

Ila hilo halinishangazi sana coz ni kawaida kwa wanao fanya kazi kwa wahindi huwa ni kwa mali kauli
 
Wa kwanza huyo tayari chali

Jasusi la ulimwengu kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…