Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Huyu Joshua ashanichefua. Huyu hata akikutana na Mfaume anampasua. Kweli nimeamini anabebwa na Uingereza wake. Maana nilishangaa kwenye forum moja wamarekani weupe wanamsapoti AJ. Hawana time na Mmexico-Mmarekani.
Nimehama upande namspoti chibonge. Kanikera mptuuuuuu na msonyo!
Nimehama upande namspoti chibonge. Kanikera mptuuuuuu na msonyo!