Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Wote hao tayari walikuwa wameshakuwa ma veteran....hamna kitu
 
Hapana bob mbona boxing guru wamesema kua Fury na Wilder ni confirmed fight.
 
Babu wa kiwango cha juu (champion)[emoji3][emoji3]
Unajua sometime fighter anakubali pambano kwa kujua kua losing is not a matter.

Mfano Dula Mbabe na Cheka, Dula alijua kua akipigwa na Cheka itasemwa amepigwa na bondia bora kwa Tz so it's all fair, akimpiga yeye itakua bonge la deal.

Same kwa Aj he knew akipigwa na Klitschiko it won't be much of a news. Ila akimpiga tutasema kauangusha ukuta which too bad ni ukuta wa umri umeenda kidogo.

Its how it works boss
 
Hapana bob mbona boxing guru wamesema kua Fury na Wilder ni confirmed fight.
Kama wameconfirm basi ni hivi karibuni, ila hawakuwa na uhakika hata na terehe means mkataba walikuwa bado hawajasign, tofauti na alivyokuwa akisema Wilder. Mimi binafsi namkubali sana Wilder ndo maana nimemuweka kwenye dp, sema sometimes simuelewi[emoji1][emoji1], nashangaa anaogopaga hata kupigana na Whyte wakati hatishi kihivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…