Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Hili pambano nalisubiri kwa amu, nione kama Ruiz is the true champions?
Na Joshua is the real threat kwa Wilder?
Bcoz endapo J hakipoteza hili pambano hatoweza kuja pigana na mbabe aliyeshindikana (BronzeBomber)
Wilder amalizane Kwanza na Fury
 
Wilder amalizane Kwanza na Fury
About Furry this time Wilder anamaliza game kwa kO, Uzuri Wilder kashasema anamalizana kwanza na yale mapambano yalitoleta controversial Ortiz + Fury,

Alafu kuna sehemu ulisema Wilder anamuhofia Joshua, futa hii kauli mkuu, Wilder n bondia anayejiamini zaid ktk kizazi hiki, he belives is only number one heavyweight champions, sasa Joshua anapotaka alipwe zaid ya Wilder kisa fans base ilo Wilder hatokubaliana kamwe, mzigo uwekwe 50/50 uone kama Joshua atafika 7 round, ogopa sana ile ngumi ya KULIA ya Wilder, ile ni zawadi aliyotunukiwa na Mungu pekee

Mwisho, Furry ni bondia mzuri sana ktk kizazi hiki, mabondia wengi wa sasa wanamuhofia, cha kushangaza Wilder yeye ndio wa kwnza kutaka rematch
 
Fanbase inamatter maana ngumi ni biashara, Wilder anashindwa kujaza hata uwanja akiwa nyumbani kwake, AJ is a bigger brand though Wilder anatisha zaidi ulingoni
 
A man who has nothing to loose is a dangerous Man.
 
Kitu kuhusu Wilder.. He never gives Up. Alishawahi kurusha ngumi, tendon ya mkono ikachanika lakini hakukata tamaa.. Mpaka tone LA Mwisho.

Ikitokea AJ v Wilder.. Kete yangu naitupa kwa Wilder huyu chalii ni mnyama mwingine
NAtamani nimuone Joshua vs Wilder. Sioni chances za AJ kumpiga Wilder, jamaa limekaa kiuaji na linajua kutandika
 
Ngoja tuone.
 
Mapambano atayapata, unajua jina lake linauza kuliko bondia yoyote (ukiondoa Canelo), sema thamani yake na legacy itakuwa imeshuka sana. Kila bondia Heavyweight anatamani apigane na AJ ndipo kwenye hela kwa sasa
Ilikuwa zamani si sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…