Hii ndo comment yako halafu unaniambia unajua ngumi kwahiyo mimi niliandika utumbo?
Anyway, Ruiz ana ngumi nzito kumzidi AJ, AJ ana weak chin na pumzi hana.
Pambano la AJ na Klitschiko lilithibitisha juu ya chin na pumzi ya AJ. Kama atafanyia kazi pumzi kisha akaachana na 'Attack the trunk and the tree will fall' atashinda.
Hii ni unaambiwa 'Don't get crazy and we are home' so AJ kazi ni kwake.
Ruiz mwili wake unamsaidia kuabsorb body shots, ana ngumi nzito na anaweza kuvumilia offensive shots. Kibiashara hana cha kupoteza, kihadhi hana cha kupoteza pia as huyu mtu alichukuliwa ni journeyman na stepping stone kwa AJ (Nafikiri ni sababu pia akataka pesa ndefu kurudiana as he knew after this he is done)
Ruiz akiingia akawa karelax, toying, showboating na kumvuta AJ mpaka raundi ya tano naona akishinda. Unless awe kalipwa more than what we see on paper.
Sitarajii action packed fight as kila mtu atakua busy kumvizia mwenzie ateleze.