Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

Joshua is the MAN to beat.
 
Joshua kwa wilder atachakaa vibaya sana
wilder kwa pambano alilopigana juzi na ortiz (king kong) amejidhihirisha kua anaingilika kirahisi ni mtu ambae kwanza ngumi zake anazorusha si za kifundi ivyo kumpa mwanya adui kumuingia na kumterminate kirahisi..

lile pambano king kong alimhandle wilder vizuri sana sema pumzi ilinuishia na kama wangeenda mpaka round ya 12 bas ortiz alikua anashinda kwa point!!

wilder ni mmarekani na ndio the only american heavy weight competitor!! ivyo wamerakini wanampa sana tilte lakib hana zile skills za boxing!! kama punch slipping,,punch dodging,,,good foot work,,,signatory moves,,,,skilled punch combinations,,,, hivi vyote amekosa kwa iyo kwa AJ itakua easy win pia
 
Joshua kwa wilder atachakaa vibaya sana
wilder kwa pambano alilopigana juzi na ortiz (king kong) amejidhihirisha kua anaingilika kirahisi ni mtu ambae kwanza ngumi zake anazorusha si za kifundi ivyo kumpa mwanya adui kumuingia na kumterminate kirahisi..

lile pambano king kong alimhandle wilder vizuri sana sema pumzi ilinuishia na kama wangeenda mpaka round ya 12 bas ortiz alikua anashinda kwa point!!

wilder ni mmarekani na ndio the only american heavy weight competitor!! ivyo wamerakini wanampa sana tilte lakib hana zile skills za boxing!! kama punch slipping,,punch dodging,,,good foot work,,,signatory moves,,,,skilled punch combinations,,,, hivi vyote amekosa kwa iyo kwa AJ itakua easy win pia.
 
Yah hii gemu inachangamoto zake!!
1/ Wote ni damu changa kila mtu anataka kucreate his own legacy ivyo kutakua na ushindani

2/wote wawili hawajapoteza mchezo ata mmoja ingawa AJ ameshinda yote kwa KO

3/ in case of best puncher!! AJ is the best heavyweight puncher maana ile right punch yake ndo ngumi yake ya ushindi hii ikiwa ni baada ya hi famous punc combination ONE TWO!! ( starting with the jab punch followed by heavy right punch)

4/Pumzi yeyote atakae wahi ku runout of gas atakua katika great risk ya kupoteza mchezo!

Finally kwa sisi wanichezo wengi tunampa nafasi AJ ya ushindi lakini hauotokua ushindi rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…