Antony Mtaka hatumiki kikamilifu

Antony Mtaka hatumiki kikamilifu

Huyu kuwa mkuu wa mkoa sio level zake anastahili uwaziri, ni bonge la genius na anaushawishi Sana na ana maono sana
 
Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.

Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Atafaa Sana kama akipewa u pili halafu baadae umoja kama tetesi zikiwa kweli zikazidi zaidi ya matarajio!!!
 
Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.

Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Hamna kitu hapo, Dodoma imemshinda akawa bize kumpa mkwewe tenda ya kufyatua matofali ya shule za serikali.

Dodoma ili prove uwezo wake, kwamba anafaa kuongoza mashamba ya miti na parachichi
 
Antony ana vipawa na vipaji ambavyo havijatumiwa kwa ukubwa wake, kila fulsa anazopewa anatosha kila mahali anapopangiwa anamudu mpaka chenji inabaki.

Watu wa jinsi yake huwa wanapatikana wachache kwa msimu, tunapopata bahati ya watu kama hawa tuwatumie vizuri.
Asante mkuu kwa kuliona hili!. Huyu jamaa ana akili sana, na anajiamini!
 
Welcome to reality, na kama huamini angalia tu ofice nyingi, if you are smart unakuwa threat . Hawakuoni kama asset. Ziko ofisi chache zitakuchukulia kama asset.

Logic behind mabos hawataki kuonekana hawajui kazi. Hiki kitu kipo hadi ngazi za juu
Kabisa, yuko vizuri sana.
 
System ya Stanza haitaki watu smart mkuu, inataka stupid and famous kwa maslahi ya chama.
 
Never outshine your master mzee
Kweli mkuu hii rule inahusiana na hapa kwa hili aliloleta mleta mda?

Kwahiyo hata kutatua changamoto za ardhi, mashamba, miundombinu, hospital n.k huko ni kum - outshine master au sijaelewa Roadmap?
 
Back
Top Bottom