Anuani za Makazi na Wakazi je inaweza kupatika/kutolewa sehemu ambazo hazijapimwa?

Anuani za Makazi na Wakazi je inaweza kupatika/kutolewa sehemu ambazo hazijapimwa?

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,175
Reaction score
4,299
Nimeshuhudia watu wakipita na makaratasi wakiwaambiwa wakazi wa eneo husika kuwa huu mtaa n mtaa flan na Kama Kuna njia wanasema n njia flan bila ya mwenyeji/wenyeji kujua Hilo jina limetokea wapi.

Pili hiv inawezekana kutoa anuani bila ya kuwa umerasimisha makazi ya eneo husika?

Mfano unakuta sehemu nyingi n sehemu ambazo zipo nje ya mji ambapo miaka mitatu nyuma ilkua n shamba Ila aliekuwa anamiliki kaamua akate viwanja na hata jirani ya kiwanja utakuta n shamba Tena hapa najiuliza serikali imejipangaje kutatua hyo changamoto bila kugawanya/kuipima ardhi husika.

Kwa ninavyojua mimi binafsi pia naona itakuwa njema mfano tukisema huu n mtaa/barabara ya PUTIN Basi plot ya kwanza ianze kwa mtiririko 001,002, 003,004, ......... & etc Sasa hapa unakuta Nyumba hapa unapita eneo Kama mita 100 ndo unakuta Nyumba nyingine hapo katikati inakuaje?

Mie naona n Bora hyo pesa Serikali wangeanza na kuyarasimisha makazi kwanza pili barabara ifuate tatu maji yaingie nne wananchi wajenge tano umeme ufike na mwisho hao wa anuani watakuwa wanaweza kugawa hzo anuani zao hata Kama plot haijapata mmiliki.

Karibuni mnifute tongotongo
 
Nimeshuhudia watu wakipita na makaratasi wakiwaambiwa wakazi wa eneo husika kuwa huu mtaa n mtaa flan na Kama Kuna njia wanasema n njia flan bila ya mwenyeji/wenyeji kujua Hilo jina limetokea wapi.

Pili hiv inawezekana kutoa anuani bila ya kuwa umerasimisha makazi ya eneo husika?

Mfano unakuta sehemu nyingi n sehemu ambazo zipo nje ya mji ambapo miaka mitatu nyuma ilkua n shamba Ila aliekuwa anamiliki kaamua akate viwanja na hata jirani ya kiwanja utakuta n shamba Tena hapa najiuliza serikali imejipangaje kutatua hyo changamoto bila kugawanya/kuipima ardhi husika.

Kwa ninavyojua mimi binafsi pia naona itakuwa njema mfano tukisema huu n mtaa/barabara ya PUTIN Basi plot ya kwanza ianze kwa mtiririko 001,002, 003,004, ......... & etc Sasa hapa unakuta Nyumba hapa unapita eneo Kama mita 100 ndo unakuta Nyumba nyingine hapo katikati inakuaje?

Mie naona n Bora hyo pesa Serikali wangeanza na kuyarasimisha makazi kwanza pili barabara ifuate tatu maji yaingie nne wananchi wajenge tano umeme ufike na mwisho hao wa anuani watakuwa wanaweza kugawa hzo anuani zao hata Kama plot haijapata mmiliki.

Karibuni mnifute tongotongo
Point.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Yaani mpaka vijijini huko wanalipa kodi ya nyumba na huko huko anwani ya makazi inawafuata, uenda kuna mtaa au hakuna.

Mfano kijiji cha govi kule nampalingwe bingu unatuma mzigo kutoka iloshima, unaingia posta unataja kijiji na jina la muhusika wao wanatrack mpaka nyumba hukohuko shamba.

Issue ya nyumba alafu open space/shamba vinainekana kwenye ramani so sijaona kama litasumbua, nyie pokee kwa sasa mkijua mpo Afrika!.
 
Kama huko mlifanya na mkapata kile mlichohitaji Basi mpo vizuri,

Vipi ikitokea 500m hakuna Nyumba hapo wanafanyaje?
Mkuu kama hakuna nyumba kiwanja kilichopo wazi pia kinapewa namba. Moja ya sifa walizotakiwa kuwa nazo ni kujua kusoma ramani. Ktk zoezi hili ambacho hakipewi namba ni madhamba tu.
Ktk zoezi hili wanajaza, sim no, nida no, na tin no.
Za muhusika.
Pia tambua zoezi ni endelevu.
 
Nadhan kuna Doc imetolewa inabainisha kila kitu
 
Mradi unatokana na Shinikizo la WAKOPESHAJI siyo hitaji la WATANZANIA KWA SASA bali tunafanya ili kuwaridhisha waliotoa pesa.
Lkn kweli tukope Bil Kadhaa kuweka majina ya Mitaaa vijijini? Hivyo vibao baada ya miezi 6 vyooooote vitakuwa vimeuzwa chuma chakavu na Deni tutalipa mpaka wajukuuuu.

Bilion zingine tunakopa ili tukapandie miti huko kwenywe fukwe za Bahari Tanga na Zbar na huenda mbengu zitatoka kwa WAKOPESHAJI ili Bil kadhaa wabaki nazo! Je ndio mahitaji yetu kwa sasa??? Hapana huko Pwani tunahitaji Mitaji tukalime Mwani nk si miti kama tunavyoshinikizwa.
Anyway mambo vip jaman
 
Back
Top Bottom