Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
- #21
sawa mkuu tutajitahidiUkileta na history ya miungu kipindi cha miaka ya before Christ, itapendeza sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu tutajitahidiUkileta na history ya miungu kipindi cha miaka ya before Christ, itapendeza sana.
na misri je??Hapa duniani kuna nchi mbili ambazo zina maajabu mengi ya kale na yasiyo na maelezo ya kisayansi, India na Egypt. India ina vitu vya ajabu sana kuanzia maandishi ya kale na vitu vilivyopo ambavyo havina maelezo ya kisayansi ya kueleweka.
Egypt ni wa Kingereza na Misri kwa kiswahili so ni nchi mojana misri je??
😂😂😂😂misri si ndio egypt mkuuna misri je??
vipi tena mkuudaaaah
Achana na sayansi,Hapa duniani kuna nchi mbili ambazo zina maajabu mengi ya kale na yasiyo na maelezo ya kisayansi, India na Egypt. India ina vitu vya ajabu sana kuanzia maandishi ya kale na vitu vilivyopo ambavyo havina maelezo ya kisayansi ya kueleweka.
Kwa hiyo shetani yuko je,na mtu utamjuaje?ndiyo mkuu ...huyu ndiyo baba wa kufuru na miungu wengi wengi
😂😂😂sawa mkuuAhsante kwa somo
Nalog off
kama ya kukujibu Labda nkuulizeKwa hiyo shetani yuko je,na mtu utamjuaje?
Personally I think it's just a fictional scapegoat for human failings.
Kama kila mtu ataongea hivi basi kila mtu atataja nchi zake. Kisomi unatakiwa uweke na evidence. Bila evidence unaongea tu kubwabwaja.Hapa duniani kuna nchi mbili ambazo zina maajabu mengi ya kale na yasiyo na maelezo ya kisayansi, India na Egypt. India ina vitu vya ajabu sana kuanzia maandishi ya kale na vitu vilivyopo ambavyo havina maelezo ya kisayansi ya kueleweka.
Nimeongea wka kifupi sikuongea kama vile ninaandika makala. India ni nchi yenye mambo mengi ya ajabu sana. Ningekuwa ninaandika makala ningeyaorodhesha maajabu ya India ila kwa kuwa nilikuwa nacomment na niliyekuwa najadiliana naye yeye amenielewa ndiyo maana akaongeza Greece.Kama kila mtu ataongea hivi basi kila mtu atataja nchi zake. Kisomi unatakiwa uweke na evidence. Bila evidence unaongea tu kubwabwaja.
Mkuu wajifanya bigwa wa reversing ooh hoo!!!Njoo huku kuna jiwe liko barabarani linakwaa watu utusaidie kuling'oa.View attachment 1693120
😊Nimeongea wka kifupi sikuongea kama vile ninaandika makala. India ni nchi yenye mambo mengi ya ajabu sana. Ningekuwa ninaandika makala ningeyaorodhesha maajabu ya India ila kwa kuwa nilikuwa nacomment na niliyekuwa najadiliana naye yeye amenielewa ndiyo maana akaongeza Greece.
🤣🤣🤣Mkuu wajifanya bigwa wa reversing ooh hoo!!!