ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

Hatuleti wapi? Wakati wewe umesoma! Sasa unatetea kitu usichokijua bro? Legeza ndonga mkuu.

Mtafsiri fulani ambae alitafsiri rekodi moja ambayo inasadikika kuwa ni ya Annunaki, alikuja kukosolewa na mgunduzi mwenzake(ambaye hakuwa annunaki[emoji23][emoji23]) haya mambo yanachekesha sana.

Ngoja bro nitafute ule mstar wa critique nikupatie[emoji16][emoji16]
 
Shida ni kwamba watu wanapenda kushikamana na hoja dhaifu na kuzipa nguvu. Wakati asili yake ni udhaifu[emoji16][emoji16]
 
Shida ni kwamba watu wanapenda kushikamana na hoja dhaifu na kuzipa nguvu. Wakati asili yake ni udhaifu[emoji16][emoji16]
Na udhaifu unakuja pale unapojua hiki kitu nidhaifu afu ukakubali tu kwasababu wewe ni dhaifu...

Mungu yupo mmoja tu staki kujua mambo mengine ya kiwaki
 
Naomba jibu langu.
Kama Annuanak waliwafanyia chroning binadamu. Nani aliwafanyia chroning wanyama?. Maana nao walikuwa giant hapo zamani na Sasa nao wamepungua ukubwa.
Mfano tembo. Ni Nani aliwafanyia chroning???
 
Umesema Annunaki ni wakongwe kuliko umri wa Mungu wa Ibrahim .

Upi umri wa Mungu wa Ibrahim kulinganisha na annunaki?

Annunaki asili Yao ipi ,wapi yaani imekuwaje wakawa wao(wameumbwa au wametokea tu ?)
 
ENLIL Alizaliw na ENKI km mtoto mkubwa wa kwanza wake na akapewa madaraka amabayo alifanya kinyume na babae, so babake akakasirika ule uamuzi alo fnya !! ENLIL akamuasi ENKI!baba yake! kwa muktadh huo ENKI ni=Mungu. ENLIL =shetani!

Yesu ana jina lake ila nimeshau!
 
Daah dunia wacha iende tu
 
Kwa anayetaka pia kujifunza kuhusu siri ya ujenzi wa Pyramids aangalie hii dicumentary hapa chini.Kuna maswali mengi sana mchambuzi anauliza,ila mwishoni utagundua Pyramid hazikujengwa na Egyptians kama Egyptology wanavyotuaminisha kwamba zilijengwa kwa kukata mawe kwa kugonga na kipande cha chuma kwa jiwe.
link hii hapa
 
ENLIL Alizaliw na ENKI km mtoto mkubwa wa kwanza wake na akapewa madaraka amabayo alifanya kinyume na babae, so babake akakasirika ule uamuzi alo fnya !! ENLIL akamuasi ENKI!baba yake! kwa muktadh huo

James Cameron [emoji3]
 
Mesopotamia waliwaita ANUNNAKI,huko Mesoamerica waliwaita Kwa majina mbali mbali
Ukienda Kwa Israelites waliwaita Nephilims/Watchers/Angeles
Nipe tofauti ya Mesopotamia ya kale na Israel (israelites-km ulivoiita)......wana wa ANAKI (kibiblia)wanatofautina vipi na ANNUNAKI!
 
Habari mkuu,samahani Naomba namba yako ya simu nikupigie nikuulize baadhi ya maswali ambayo naona nikiuliza kwa maandishi nawesa nisieleweke..maswali Kama
1.baada ya annunaki kumtengeneza binadamu ilikuaje wakamuwekea kifo?
2.Umesema Eden ilikua maabara ya majaribio je mtu wa ujuzi wa mema na mabaya upoje?
3.Baada ya annunaki kuondoka je waliahidi kurudi ili binadamu aendelee kuogopa kusaliti kazi aliyopewa ya kuchimba dhahabu?
4.Kwanini binadamu waliopewa hiyo Siri ya mission ya hao annunaki ambao umesema ni kizazi Cha Abraham au pure bloodline wao hawajihusishi na kuchimba dhahabu?
5.Vipi concept ya mtume ya mtume na yesu kristo nayo Ina uhusiano na annunaki?
Nijibu tu kwa upole mkuu[emoji120][emoji120]
 
Unasema sisi hatujawahi kumuona Mungu, Wewe umewahi kuwaona hao ANNUNAK ?? na sote tumewafahamu kupitia maandishi
 
Unasema walidanganya watu kuwa watakuja kurudi na kuwachukua ??

Means ANNUNAK walikua viumbe wa propaganda pia na uongo uongo, Unantafakarisha kweli maana hata hayo maandishi ya kale ambapo unadai ndipo imefichuliwa siri za chanzo cha watu/binadamu wenda ilikua ni propaganda za hao hao ANNUNAK, Maana kama waliweza kudanganya watu waliowaumba kuwa wakifa kuna life baada ya hapo, na watarudi kwajili ya kuwachukua hapo hapo wakiwa wameacha maandishi ambayo yanaelezea mambo yote haya unayoyaandika,, unatuchanganya
 
Annunaki mara Yao ya mwisho ni miaka 450 BCE waliondokea kule Mesoamerica baada ya kuibeba dhahabu ya wahindu wekundu,Wamaya, Waaztec, waperu nk
Hahahaha dhahabu 'YA' wahindu, wamaya, Waaztec, waperu ????? Hahahahahaha ?? Watu walioumbwa wakawa ndio walimiliki wa hizo dhahabu tena hahahahahaha
 
Tulia upate elimu wewe acha kuishi kwa kuabudu mavitabu yaliyoletwa na wakoloni, we unadhani wakoloni wanatupenda? akuletee wokovu wakati alitaka asiondoke!! afaidi mali zetu! angalia walivyo na chuki na mtu mweusi! Mzungu na mwarabu sio watu kabisa!
Ajabu hao hao ndo wamekuletea na habari za kuhusu ANNUNAK, Hahahahahaha
 
mjomba,utafanya wa2 waasi imani zao,hasa wenye kukosa kutafakari,v2 ivi haviwekwaji public kutokana na uwezo tofauti wa kutafakari v2 baina ye2{akili}...utapeteza wa2 mzee baba!!..ndo manake unaona kunavitabu vimefichwa kama the book of enoc....lakini kila serikali duniani huwa inafungia baadhi ya vitabu,sinema au nyimbo inazohisi vitaharibi jamii....sory 4 that bro!!
 
Hata chizi anatafakari pia na anajua uwepo wa Mungu mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…