ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

Wafia dini wengi ni wepesi sana kuamini ndiyo wengi wetu tunapigwa na vitu vizito usoni kila siku na hatukomi! Ila hii nadharia yenu wengi tumegoma kuiamini sababu ina maswali mengi yasiyojibika! Uongo uongo na uhuni uhuni mwingiiiiiii🤣🤣🤣
Tatizo lenu mnadhani Kila kitu ni Imani swala la Annunaki limekaa kijamii na kisayansi zaidi Tatizo lenu nyie dini zenu zimewalaghai nadharia zote kuhusu MUNGU/Miungu/Malaika/
Watchers/Shetani

Zote zilitolewa kwao hao hao ANNUNAKI na Jamii za kale na ndio Mpaka Leo zimetengenezwa kijanja,mKiufupi hata hamuelewi maana ya neno 'MUNGU' mnafuata mikumbo tu Bila fahamu Leo tunapowaletea maana yake mnacharuka mara oooh Annunaki sio MUNGU ila Kuna MUNGU muumba Bila kujua dhana Hiyo Ina maanisha waolishuka duniani na watawala wa mbinguni (Nephilim/12th planet Nibiru)
 
Dumas funga huu Uzi tafadhali! Narudia tena, kama huamini katika kitu chochote yaani hata katika hiki unachokihuburi hapa nakusihi kwa Jina la Yesu delete huu Uzi! Unatulisha vitu ambavyo hata wewe mwenyewe huviamini!!
Duuu hahahahaha hii Kali ya Mwaka kwamba nifunge Uzi Kwa lengo lipi?
Wewe ndie nakushauri uuage mjadala maana umekuzidi kimo ila Uzi utaendelea kuwepo kwenye server za JF na jukwaa hili Mpaka kieleweke,
Huu ni Mwanzo tu Bado Nina information nyingi na shahidi za kihistoria kuwahusu Annunaki,

Karibu Katika mjadala!
 
Swali langu hao Annunak si ndo walifanya human manipulation na human cloning ili kumpata binadam wa sasa... je waliwaumba race tofauti ama ndo nature nayo ilifanya yake ndo kukawa na hizi tofauti za human race?
Mkuu ukisoma accient tablets za Wasumeria alizotafsiri
Zachariah Sitchin zimeandika Annunaki walifanya human manipulation na cloning Kwa viumbe mbali mbali pamoja na mimea bustani ya Eden/Aden iliyokua pembeni mwa mji wa ERIDU ndio sehemu ya kwanza ANNUNAKI walifanya majaribio ya mazao ya kisasa miti yote ya matunda,mbegu mbali mbali za mboga mboga na vyakula vyote pale ndipo ilipokua inazalishwa,
Eden ilikua umepitia mito ya Tigris na Euphates aliyotumika kama chanzo Cha umwagiliaji wa mazao ya majaribio na ndipo ambapo Adapa (Adamu)
Wa kwanza alipata ishi na hao Miungu waliomfanya akiitunza bustani kabla hajafunguliwa akili na ya kutambua mema na mabaya na Moja ya jamii za Annunaki waliotaka asiwe mtumwa pale

(Dhana hii imekaa kisayansi zaidi ikiwa na maana waliaactivate ufahamu wake ajitambue zaidi jambo lililohatarisha angeweza fanya jambo kubwa na akatolewa Eden na kwenda kuishi nje Ambako alikutana na race ya jamii nyingine waliofanywa pia na hao hao ANNUNAKI ila wanatumika kuchimba Dhahabu)
 
Mkuu ukisoma accient tablets za Wasumeria alizotafsiri
Zachariah Sitchin zimeandika Annunaki walifanya human manipulation na cloning Kwa viumbe mbali mbali pamoja na mimea bustani ya Eden/Aden iliyokua pembeni mwa mji wa ERIDU ndio sehemu ya kwanza ANNUNAKI walifanya majaribio ya mazao ya kisasa miti yote ya matunda,mbegu mbali mbali za mboga mboga na vyakula vyote pale ndipo ilipokua inazalishwa,
Eden ilikua umepitia mito ya Tigris na Euphates aliyotumika kama chanzo Cha umwagiliaji wa mazao ya majaribio na ndipo ambapo Adapa (Adamu)
Wa kwanza alipata ishi na hao Miungu waliomfanya akiitunza bustani kabla hajafunguliwa akili na ya kutambua mema na mabaya na Moja ya jamii za Annunaki waliotaka asiwe mtumwa pale
(Dhana hii imekaa kisayansi zaidi ikiwa na maana waliaactivate ufahamu wake ajitambue zaidi jambo lililohatarisha angeweza fanya jambo kubwa na akatolewa Eden na kwenda kuishi nje Ambako alikutana na race ya jamii nyingine waliofanywa pia na hao hao ANNUNAKI ila wanatumika kuchimba Dhahabu)
Hiyo race nyingine chanzo chake n primitive waliowakuta hapahapa duniani au n primitive kutoka sayari yao walikuja kuwafanyia cloning hapa kwetu ndio maana wakawatenganisha?
Na pia naomba tujibu huu utofauti wa race zetu.
 
Hiyo race nyingine chanzo chake n primitive waliowakuta hapahapa duniani au n primitive kutoka sayari yao walikuja kuwafanyia cloning hapa kwetu ndio maana wakawatenganisha?
Na pia naomba tujibu huu utofauti wa race zetu.
Nadharia zipo mbili Mkuu ya kwanza ni Ile ya kumfanya Kiumbe anayeitwa Enkidu (Primitive)
Awe Homo sapiens
Nadharia ya pili walichukua genre ya kwao na kumix ya Enkidu ndio akapatikana Adam wa Eden au tunawaita Caucasian ambao ndio wazungu wa Leo!
 
Nadharia zipo mbili Mkuu ya kwanza ni Ile ya kumfanya Kiumbe anayeitwa Enkidu (Primitive)
Awe Homo sapiens
Nadharia ya pili walichukua genre ya kwao na kumix ya Enkidu ndio akapatikana Adam wa Eden au tunawaita Caucasian ambao ndio wazungu wa Leo!
Poa vip wahindi,waarabu,wachina na sisi wa africa tumetokana na nn?
 
Tatizo watu ambao hamuamini dhana ya "Umungu" mnaokoteza kila kitu ili mradi kinatofautiana na hiyo dhana ili mjifurahishe!

Narudia tena kuna siku hapa ulisema binadam tumetokana na bacteria! Leo tena unakuja kusema tumefanyiwa manipulation na Annunaki kutoka viumbe wa mwituni!

Kikubwa kila mtu ashike anachokiamini maana hata wewe hapa unaamini kitu ambacho hakijaonekana kwa zaidi ya maelfu ya miaka, unakuwa huna tofauti na mtu anayeamini kuna Mungu muumba mbingu na nchi.
 
Sasa mbona hao Annunaki hawaji tena duniani?

Hayo maandiko tunashindwa kuyapokea na kuyakubali kwa sababu hayo mambo hayakuwa na mwendelezo.

Nini kiliwafanya hao viumbe wa juu wasije tena duniani bali tunaishia kuambiwa walikuja miaka kibao huko nyuma.
Mkuu Annunaki walikuja duniani kutoka 12th Planet Nibiru (Mbinguni)
Kuja kufuata dhahabu kama metal ya mhimu Kwenye teknolojia Yao,maandiko ya Sumeria yanasema dhahabu ni ufunguo wa maisha wakiwa na maana ilitumika kurecover atmosphere ya sayari Yao iliyoharibiwa na vita iliyoitwa Galactic civilizations war au Katika nadharia ya watu wa dini wanaita vita ya Mbinguni
Hivyo baada ya mission Yao kukamilika waliondoka duniani Ina maana hawana interest na Sayari yetu maana ya kwao ni kubwa mara tatu na ya kwetu na ni high Intelligent isiyoelezeka,

Hebu nikufunulie Siri Moja upate kuunga dot
Unajua kwanini maandiko mengi yanayodaiwa ni matakatifu yameandika Mbingu imejengwa Kwa milango ya Dhahabu na madini mbali mbali huko akiishi 'MUNGU'
(master of high chamber)
Pamoja na malaika (Watchers) zake wakiilinda milango Hiyo?

Unajua maana ya maandiko kuandika Mungu amekaa Katika kiti Cha enzi chenye utukufu mkubwa pamoja na nguvu mamlaka na kuzungukwa na Baraza la wazee wa Siku 24?
Hivi unajua hayo maandiko yalitoka wapi kwingine kama sio
Mesopotamia ambako ndio nadharia ya Mungu/miungu ilianza na Israelites wakifuata mafundisho ya Abraham ambaye ndie baba Yao aliyechukua Hizo Nadharia huko Uru ya Ukardayo Mesopotamia akizungumzia Mkuu wa Annunaki aliyeketi kwenye kiti Cha enzi Cha Mbinguni
( Nephilim/12th planet Nibiru)
Ambako mtawala wake aliitwa
Elohim/Elojim/YHW

Watu wengi wapo fools walipata masimulizi ya nadharia tu na waliowaanzishia Hizo dini huko wakisahau ipo Siku tutaweza tafsiri maandiko ya kale ya Sumerian ambayo wameicopy Hiyo nadharia!
 
Tatizo watu ambao hamuamini dhana ya "Umungu" mnaokoteza kila kitu ili mradi kinatofautiana na hiyo dhana ili mjifurahishe!

Narudia tena kuna siku hapa ulisema binadam tumetokana na bacteria! Leo tena unakuja kusema tumefanyiwa manipulation na Annunaki kutoka viumbe wa mwituni!

Kikubwa kila mtu ashike anachokiamini maana hata wewe hapa unaamini kitu ambacho hakijaonekana kwa zaidi ya maelfu ya miaka, unakuwa huna tofauti na mtu anayeamini kuna Mungu muumba mbingu na nchi.
eti watu wasioamini dhana ya Mungu Hivi unajua maana ya Mungu kweli wewe?
Unajua
MUNGU ni cheo sio jina?

Haya nikuulize unaamini Katika MUNGU Gani Katika Ile Miungu mingi ya kale?
 
Tatizo watu ambao hamuamini dhana ya "Umungu" mnaokoteza kila kitu ili mradi kinatofautiana na hiyo dhana ili mjifurahishe!

Narudia tena kuna siku hapa ulisema binadam tumetokana na bacteria! Leo tena unakuja kusema tumefanyiwa manipulation na Annunaki kutoka viumbe wa mwituni!

Kikubwa kila mtu ashike anachokiamini maana hata wewe hapa unaamini kitu ambacho hakijaonekana kwa zaidi ya maelfu ya miaka, unakuwa huna tofauti na mtu anayeamini kuna Mungu muumba mbingu na nchi.
Halafu kitu kingine Ankori hebu amka basi Swala la ANNUNAK sio la kiimani aisee mbona mnakua wagumu kuelewa hakuna mtu timamu atayesema ANUNAK walikua Miungu ila nyie ndio mliechukua nadharia za Uungu kutoka kwao na kumtengeneza modern GOD ambaye mnaemwabudu na hamjawahi kumwona hauoni kati yangu na wewe Kuna utofauti hapo?

Narudia hakuna kiumbe anaitwa 'MUNGU'
Bali Hilo neno linatumika kama title tu lenye maana ya
'Master of High Chamber'
Katika accient tablets za kale za Wasumeria huyo Master of high chamber aliitwa 'ANU'
Wayahudi na Israelites walimwita
Elohim/Elojim/YHW

Soma kuelewa Ankori!
 
Swali linakuja kuna maisha mengine baada ya haya duniani yaani baada ya kifo?

Biblia inasema tukifa roho zetu zinaenda mbinguni kwa Mungu ambaye haishi kwenye ulimwengu wa kuonekana kwa macho ya nyama kama dunia bali ulimwengu wa kiroho

Kwahiyo Mungu huyu wa kiroho ni tofauti na huyo Mungu Annunaki? kwa sababu Mungu huyu wa kiroho haitaji kuchimba dhahabu na kupamba makazi yake kimuonekano wa kidunia bali imepambwa kiroho
Hizo za ukifa unaenda maisha ya eternal ni fiction tu walizolaghaiwa watu wa kale na hao watchers kiufupi hakuna kitu kama hicho mtu ukifa unakua decay unatoweka kabisa udongoni yaani unakua deadly infinity,

Hizo dhana zilianzishwa na ENLIL wakati ANNUNAK wanaondoka duniani na kurudi kwao waliwaambia hivyo maana walijua wanaondoka duniani na hawatarudi Ili kuwafariji wakawapa porojo za life after death Kumbuka

Annunak walicotrol man kind na walikua na akili sana walitunga sheria walizoziita dini Ili iwe faraja Kwa watu watakaowaacha huko wakiwaahidi ipo Siku watarudi na kuwachukua waende wakaishi nao juu mbinguni
(Nephilim 12th planet ) kwenye Raha za milele na anakoishi Mungu Mkuu ambaye ndie baba wa waanak yaani ANU

Kiufupi Ile ilikua danganya toto tu ukisoma maandiko ya Sumeria yanadai race ya binadamu ilikataliwa na jamii ya wanibiru kwamba haitakiwi huko kwao sababu lengo ilikua ni kuwatumia kama vijakazi wa kuwachimbia dhahabu tu mwisho wanatoweshwa ila kutokana na kuishi nao Kwa Upendo Kwa miaka mingi baadhi ya watchers waona waache tu wasurvive wakitumainia ipo siku watarudi kuwakomboa kwenye shida zao!

Kwahiyo jombi zile story zenu za Malaika kuonekana zamani na kuishi duniani kwenye dini zenu unajua kwanini Leo hawaji Tena Kwa maelfu ya miaka?

Mlilaghaiwa Aiseee poleni Sana waamini!
 
Aisee dah inafikirisha sana, binafsi haya maandiko ya dini yanachanganya kwa mfano kila kitu kilitokea zamani zamani zamani, tunaishi kwa kuamini matukio ya zamani ambayo hatuna uthibitisho nayo.

Hata ya Annunaki staki kuyaamini sana kwa sababu ni matukio ya kizamani ambayo kuthibitisha kwake tunatofautina na kupingana hapa.

Hao Annunaki si wanaona kinachoendelea huku duniani, wanamuona binadamu wao waliyemuachia anachokifanya?

Kwanini wasije kumtembelea au wanatuogopa wakija tutawaua?
Aisee Mkuu ukisoma Katika accient tablets za Sumeria binadamu kwao Alikua kama kijakazi tu wakuwafanyia kazi Katika migodi Yao hivyo baada ya project hawakuona sababu ya kujipa mizigo,
Accient tablets zinasema walipokua wanaondoka Kuna elimu na kanuni walimpa binadamu Ili asurvive duniani Kwa miaka mingi mbele Nazo ndio elimu ya Nyota, Muziki, Uhandisi, uchimbaji madini, Dini NK

Lengo ilikua ni kumwacha ajiendeshe mwenyewe na ndio maana baada ya wao kuondoka ule ustaarabu ukaanguka Kwa sababu binadamu Alikua tegemezi kwao Kwa kila kitu ndio hayo ma sites kama pyramids na ma underground bases mengi yalitelekezwa tu yakajifia mengine yanasurvive Mpaka Leo!
 
Habari Wana JF na jukwaa la Intelligence natumaini mpo salama na tunasurvive chini ya jua kibishi,
Nimeona nilete hii mada ngumu kidogo kuhusu Accient civilization ya kale katika Dunia yetu,pamoja na nadharia mbali mbali za kuanguka na kupotea kwake,

Natumaini wale magreat thinkers watashashare idea zao kutoka vyanzo mbali mbali na natamani mjadala uwe endelevu na wale wenye watakaoweza kuweka rejea kutoka source mbali mbali wawe huru Ili mjadala uwe mpana kidogo hivyo uvumilivu unahitajika,
Note wafia Dini hamuhitajiki humu kama kitu hujui kaa kwa kutulia upate Somo na rejea mbali mbali,

Karibu!

Dunia ya kale ilipata kupitia katika ustaarabu mkubwa sana ambao Mpaka Leo unaacha utata mkubwa pamoja na fumbo kuu,
Wanasayansi,watu wa Dini,wanafalsa na wachunguzi huru wamejikuta kwenye sintofahamu juu ya ustaarabu ule uliopotea Huku wakibaki kwenye nadharia nyingi toka Hapo zamani,

Ushahidi kutoka maandiko ya kale ya Sumeria yaliyokutwa katika tablets za Mawe na michoro mbali mbali katika jamii nyingi za kale zimewataja viumbe walioitwa 'miungu'

"Miungu" au 'gods' tafsiri yake ikiwa na maana ya walioshuka kutoka 'mbinguni' au angani na Kushuka duniani,

Nadharia ya Miungu Katika Sumeria imewataja "ANUNNAKI"
Au Wana wa Annak
ANU =mtawala wa mbinguni na baba wa waanak na KI mother goddes mtawala wa Dunia,

Maandiko ya kale ya Wasumeria katika Mesopotamia yamewataja viumbe Anunak walipata Kuja duniani Miaka 450,000 BCE iliyopita,
Mtafiti wa mambo kale Zachariah Sitchin miaka ya 70's aliweza kutafsiri baadhi ya maandiko ya kale ya Wasumeria yanayodai Annunaki walipata Kuja pre human development yaani akiwa na maana Dunia ikikaliwa spicies ya Homo Elactus pekee,

Pia maandiko ya kale ya Sumeria yanadai Annunaki walitokea Sayari ya Nibiru ambayo huizunguka mfumo wetu wa Nyota ikiwa kwenye mhimili wake Kila baada ya miaka 3,600
Na maandiko hayo ya kale yanapata kuandika Annunaki ni intelligence being wenye high advanced science and technology na walipata kuja Duniani na Spaceships kwa lengo la kuchimba Dhahabu ikiwa kama metal ya mhimu huko kwenye sayari Yao ambayo waliitumia kurecover atmosphere ya anga lao,
Note hiyo ni according to Accient writings alizotafsiri Zachariah Sitchin,wanasayansi na Watafiti wa mambo kale kama Jesus Cediel,

Swali Wana jamii intelligence Inakuaje tablets kongwe na ya kale kuliko maandiko yoyote Yale yaani Sumerian iandike mambo kama hayo?

Fumbo!

Nitaendelea na mada karibuni Kwa mjadala!

ALALU:Mtangulizi wa mwanzo wa Annunaki
Katika accient tablets anatajwa Alalu huyu alikua ni agent kutoka Sayari ya Nibiru aliyepewa jukumu la kuzunguka Sayari mbali mbali kuangalia uwezekano wa kuwepo Kwa dhahabu,Alalu alifanikiwa kuifikia Dunia yapata miaka 450,000 BCE na kufanya tafiti mbali mbali Katika accient tablets anatajwa kama 'mungu' wa ugunduzi,Alalu alipata kutua Kush na akagundua hazina kubwa ya dhahabu,ugunduzi wa machimbo ya kale ya kush unathibitisha kugundulika Kwa dhahabu Kwa mara ya kwanza Katika uso wa Dunia ukifuatiwa ule wa South Africa na Maputo Msumbiji ambako miaka ya Hivi karibuni kuligundulika machimbo ya kale sana yalichimbwa Kwa ustadi Kwa kutumia vifaa vya kisasa unaoshangaza Dunia ya Leo,

Baada ya tafiti za Alalu walifuatia Wana wa Annak ENKI na ENLIL ambao walishuka na Spaceships s kubwa Wakiongozana na moja ya jamii ya Waanunaki waitwao IGIGI ambao waliotumika kama workers kwenye Migodi yote iliyoanzishwa huku wakiongozwa na ENKI na ENLIL kama viongozi,

Maandiko ya Sumeria yanadai baadae IGIGI walichoka kufanyishwa Kazi za machimbo ya dhahabu sababu ya brutality kitu kilichopelekea vita kubwa na ya kwanza Katika uso wa Dunia ikihusisha advanced weapons kama Nuclear weapons,
Baada ya resistance ya IGIGI
ENKI alikuja na Wazo la kumfanya Kiumbe awe replaced ndipo wakawafanya Nephilims (Wanefili) Hawa walikua ni Viumbe wenye mfanano na Annunak ila wakubwa na wenye nguvu,wakitumia Hybrid Nephilims walishindwa zaliana hivyo kuwapa mzigo ENKI kuwazalisha Kwa wingi kulingana na mahitaji na Kasi ya Kazi Katika Migodi maana walishindwa kuendana na Kasi sababu ya ukubwa na uzito wa miili Yao,

WAZO LA KUMFANYA BINADAMU,
Annunak Chronicles inaelezea mwanzo Dunia ilikaliwa na Viumbe waitwao Enkidu Katika Epic of Girgamesh wanamtaja Kiumbe Mtu Enkidu ambaye alikua spicies ya Homo Elactus walioishi duniani wakiwa hawana humanity waliishi pamoja na wanyama wa mwituni kama hayawani wengine,.
Enki alifikiria ni jinsi Gani atawafanya wale Enkidu wawe intelligence na akaja na Wazo la kuwaongezea vinasaba milini mwao Kwa kufanya DNA testing na walifanikiwa kufanya genre ya Homo sapiens wa kwanza,
Pia Maandiko ya Sumeria yanadai Annunaki walifanya human manipulation na cloning project na kumtengeneza mtu wa kwanza
ADAPA (Adamu)
Wakitumia DNA zao,manii na kupandikiza Kwa Kiumbe mke aliyekuja kuzaa genre ya Homo sapiens kamili iliyokamilika
(Sumeria tablets zinaelezea teknolojia ya Human cloning,human manipulation na sayansi nyinginezo kukamilisha Hilo)

Kwanini wamuumbe mtu Kwa mfano wao?
Ukisoma kitabu Cha Genesis kinadai Mungu alisema na tumfanye mtu Kwa mfano wetu
(Wale wa nadhari za Abrahamic Religion wajiulize ilikuaje Mungu aseme na tumfanye mtu Kwa mfano wetu)
Hiyo wetu inawakilisha uwingi ikiwa na maana ya "Gods"
(Walioshuka kutoka juu mbinguni na kuja Duniani)
Mkuu huyo mtafsiri utamuamini vipi je kama kakuingiza chaka? Utajuaje...

Na enzi za hao majamaa kumbuka kulikuwa na viumbe wanaishi hapa duniani kabla ya kuja hao majamaa na kuumbwa kwa Adamu...

Swala langu ni nani aliyeumba hao viumbe wa kabla?
 
Mkuu huyo mtafsiri utamuamini vipi je kama kakuingiza chaka? Utajuaje...

Na enzi za hao majamaa kumbuka kulikuwa na viumbe wanaishi hapa duniani kabla ya kuja hao majamaa na kuumbwa kwa Adamu...

Swala langu ni nani aliyeumba hao viumbe wa kabla?
Annunaki walikuja duniani na kuikuta IPO kwenye nature yake inasurvive na viumbe wake!
 
Unaweza kura Hao Annunaki Ni malaika ambao Mungu aliwashusha duniani kuja kumfundisha binadamu ujuzi na maarifa.

Baada ya kuona binadamu ameshaelewa na somo na ana uwezo wa kujitegemea wakarudi kwa Mungu.

Hayo maspaceship unayoongelea utakuwa umeangalia kwenye movie mzee
Basi pia lugha ingekuwa ni moja tu iliyotokana na hao majamaa mana binadamu sindio walikuwa wanawafata....

Aache kutulisha matango poli huyu mkuu.
 
Unaweza kuta Hao Annunaki Ni malaika ambao Mungu aliwashusha duniani kuja kumfundisha binadamu ujuzi na maarifa.

Baada ya kuona binadamu ameshaelewa masomo mbalimbali na ana uwezo wa kujitegemea wakarudi kwa Mungu.

Hayo maspaceship unayoongelea utakuwa umeangalia kwenye movie mzee
Kwny kitabu cha henoko Hawa Malaika wanaitwa fallen angels,ndio walikuja wakazaa na Binti za wanadam,ndo watoto wao walikua giants au wanefili wa kitabu cha mwanzo.

Lkn bdo sumerian texts ndo zinashinda hapa since ndo zimetangulia kuelezea historia ya uumbaji,ila the elite hasa kwny Roman Catholic wanajua historia yote hii lkn wakiusema watakosa biashara,ndo maana nasemaga religion na formal education ni the biggest scams kuwahi tokea Dunia hii.
 
Basi pia lugha ingekuwa ni moja tu iliyotokana na hao majamaa mana binadamu sindio walikuwa wanawafata....

Aache kutulisha matango poli huyu mkuu.
Lugha kutofautia sio ishu kutokana na umbali wa kijiografia....
Mm nimemuuliza hawa ndg zetu wahindi,waarabu na sisi wa africa chanzo chetu n kipi? Hajanijibu
Tatizo lake anataka kukaririsha watu vitu alivyomeza maswali ya msingi hajibu numempuuza.
 
Back
Top Bottom