ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

Sasa hayo maandiko ya wasumeria Nani aliandika km Anunaki walishuka wakaumba watu kwa ajili ya kuchimba dhahabu je hao wasumeria walikua ni nyani au waliandik historian baada matukio kupita?
Hayo maandiko yaliandikwa na gods wenyewe yaani ANUNAKI Na waliyaandika katika TABLET za Mawe yakiwa na lugha hiyo inayodaiwa ni ya SUMERIA au ni Lugha yao Maana mpaka sasa watafiti wanaachwa njia panda maana ile LUGHA ni tata na complex sana katika historia ya Mwanadamu
Kwanza ina ALPHABET zaidi ya 300 Wakati huo leo tunazo 26 tu Vile vile ina lugha ya HESABU ambazo hazina calculation katika Mfumo Wetu Wa Leo,
Nikola Tesla Mwanadamu alikua genious wa hesabu aliyegundua Umeme Wa AC tunaotumia Leo alijaribu kidogo kufanya calculation hizo ndio zilizofanya leo tuna TANESCO
Nae alizipata kwenye PYRAMIDS za Giza wakati vilaza wanasema yale ni Makaburi ya MAPHARAO
yeye alisema yalikua POWER PLANT za kuzalisha NGUVU KUBWA ya UMEME mionzi tena WIRELESS Uliotumika Kusapply Nguvu Duniani Ili na kuweka MAGNETIC
vile vile alisema kuna uwezekano zilikua ni PLASMA GENERATOR Za KUchaJI MAKERUBI au SPACESHIP za WAANUNAK Maana juzi hapa uligunduliwa wanja wa ndege za Anunak huko Lebanon wenye Matofali ya Mawe ya miamba yenye Tani zaidi ya 1000 Kwa jiwe moja
Na yana miaka zaidi ya 5000 BC huko
ni maswali mengi kuliko majibu ndugu!
 
Hayo maandiko yaliandikwa na gods wenyewe yaani ANUNAKI Na waliyaandika katika TABLET za Mawe yakiwa na lugha hiyo inayodaiwa ni ya SUMERIA au ni Lugha yao Maana mpaka sasa watafiti wanaachwa njia panda maana ile LUGHA ni tata na complex sana katika historia ya Mwanadamu
Kwanza ina ALPHABET zaidi ya 300 Wakati huo leo tunazo 26 tu Vile vile ina lugha ya HESABU ambazo hazina calculation katika Mfumo Wetu Wa Leo,
Nikola Tesla Mwanadamu alikua genious wa hesabu aliyegundua Umeme Wa AC tunaotumia Leo alijaribu kidogo kufanya calculation hizo ndio zilizofanya leo tuna TANESCO
Nae alizipata kwenye PYRAMIDS za Giza wakati vilaza wanasema yale ni Makaburi ya MAPHARAO
yeye alisema yalikua POWER PLANT za kuzalisha NGUVU KUBWA ya UMEME mionzi tena WIRELESS Uliotumika Kusapply Nguvu Duniani Ili na kuweka MAGNETIC
vile vile alisema kuna uwezekano zilikua ni PLASMA GENERATOR Za KUchaJI MAKERUBI au SPACESHIP za WAANUNAK Maana juzi hapa uligunduliwa wanja wa ndege za Anunak huko Lebanon wenye Matofali ya Mawe ya miamba yenye Tani zaidi ya 1000 Kwa jiwe moja
Na yana miaka zaidi ya 5000 BC huko
ni maswali mengi kuliko majibu ndugu!
Naona siku hz hizi story za UFO na SPACESHIP zinapamba moto ,mitandaoni
 
Unajua maana ya neno Mungu kwanza?
Unapodai Kuna Mungu ila haonekani unaleta utata sababu huwezi Thibitisha uwepo wake,

Nikupe SoMo Leo kijana
Maana ya
'GOD' ni master of high chamber katika accient civilization ya Mesopotamia walitumia
'ANU' wakimuwakilisha mtawala wa Sayari ya Nibiru kwasababu ya watoto zake kuja Duniani kutafuta gold watoto zake wakaitwa wa Annak au
'gods' ikiwa na maana walioshuka kutoka juu mbinguni au mawinguni na kuja Duniani kutafuta dhahabu

'Miungu' ni watoto wa Mungu mkuu wa Mbingu sababu wanae walikuja duniani hivyo ni mkuu wa mbinguni na Duniani hapa ndipo Siri na nadharia ya Uungu ilipoanzia na Mungu Sio jina ni cheo Cha mtawala wa Dunia na mbingu
ANU alikua Mtangulizi wa kale wa miungu aliyekua na mamlaka kuu baadae walifuatia miungu Wengine mfano

Kuna Mungu Elohim/YHW huyu watu wengi humwabudu katika Dini za kisasa huko waabuduo hawajui ni Moja ya Miungu wa kale wa ANNUNAKI na Aliabudiwa na Abraham aliyetokea Uru ya Ukaldayo Mesopotamia ambako Ndio nadharia za Mungu na miungu zilianzia sababu ya uwepo wa ANUNNAKI

Soma historia utajua ujinga wa kuwaita viumbe Mungu ndio utajua utapeli wa Dini mlizoletewa waafrika na mkazimeza nzima nzima!
Ukijaribu kufatilia Hawa Sumerian wanaoamini katika Mungu mingi (polytheism) ambapo ni sawanamataifa mengi kila jamii ilikuwa na miungu yake inayoiamini tofauti na Imani ya Sasa inayoiamini katika Mungu mmoja (monotheism).
Ukifatilia hata uku afrika mababu zetu walikuwa wanaamini katika miungu na walikuwa wakisema neno au ukienda kinyume na matakwa ya miungu kinakupata kitu kibaya lakini ilipo kuja Imani ya Mungu mmojani kama miungu ikasizi na kukosa nguvu.
 
Ukijaribu kufatilia Hawa Sumerian wanaoamini katika Mungu mingi (polytheism) ambapo ni sawanamataifa mengi kila jamii ilikuwa na miungu yake inayoiamini tofauti na Imani ya Sasa inayoiamini katika Mungu mmoja (monotheism).
Ukifatilia hata uku afrika mababu zetu walikuwa wanaamini katika miungu na walikuwa wakisema neno au ukienda kinyume na matakwa ya miungu kinakupata kitu kibaya lakini ilipo kuja Imani ya Mungu mmojani kama miungu ikasizi na kukosa nguvu.
Yaa kweli hao miungu wengine wali iharibu Dunia ya Kale sana Human Being wakawa Slaves
Kwao kumbuka hao Anunaki ni group of Deities walikua wengi sana na walistawi duniani kote kuanzia kule Misri,India,China,Ankor Wat ,Meso America,Babylon kote na miji yake ya kale kama Eridu,nippur,kish,Shurupak,Nenev NK Na Huko kote walijenga Mahekalu Makubwa Mfano India kulikua na mungu Krishna na Alijenga mahekalu katika miamba migumu yaani anachonga hekalu kwa teknolojia za miungu kitu ambacho binadamu wa leo hatuna uwezo nacho hata chembe maana ni high advanced Technology mara buku na ya kwetu pia huko PERU na Mexico mungu Quetzacolt Au kukukan ndie aliyejenga yale mapyaramids yote na ndie enjinia wa Pyramids za Misri Pia

Hawa gods walikua wanaonekana live kwa nguvu zao ila baadae MUNGU Mkuu wa miungu JEHOVA au EL ambae ndie the ALL aliwakomesha maana inadaiwa before aliumba ADAM wa kwanza majamaa yalikuja na science za Kuclone humanoid yakaleta machotara ya ajabu yaliyo corrupt nature na MUNGU EL akaamua ayafutilie mbali na kuyafungia gizani Yaani kwenye dimension yao ya Asili Sio hii pysical World!

Hao ndio divine being wa kale
 
Upo na Low IQ Broo believe me,wapi nilipodai Annunaki walikua Mungu na Wana makuhani?

Habari za Annunaki ziligeuka za kiimani Katika Sumeria ya kale sababu watu waliwahusudu kama miungu ila kiuhalisia walikua ni Viumbe kutoka angani au mbinguni walioshuka duniani wakitoka space,

Kutokana na teknolojia Yao kubwa Sana Katika science and technology waliweza fanya mambo mengi makubwa Katika Dunia ya kale ikiwepo kuwaumba binadamu Kwa mfano wao Ili awe kijakazi wa kuchimba dhahabu,

Pia unapodai Mungu wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo unamzungumzia
Elohim/Elojim/ YHW
Huyo Alikua ni Mkuu wa Annunaki anayetawala Nibiru au 12th Planet,
Pia mtawala wa Mwanzo wa 12th Planet aliitwa ANU na mkewe KI ambaye ndie baba wa waanak wote huyo Alikua ndie MTANGULIZI mwenye nguvu aliyeibadirisha sayari Yao iliyoharibiwa na vita vya Mbinguni au Galactic civilizations Kwa kuwatuma wanae wafuate dhahabu duniani itakayotumika kurecover atmosphere ya sayari Yao Nibiru,

Kitu kingine ambacho Naona unafanya makosa ni kumtaja Mungu ambaye hata humjui ila umekaririshwa tu,
Narudia Tena
Hapa kwa msisitizo
"Nadharia za Mungu/Miungu ilianzishwa na ANUNNAKI Kwa mara ya kwanza Duniani Katika Pantheons ya Sumeria huko Mesopotamia,
Na Hii ndio maana ya Mungu ambaye Hilo jina linawakilisha cheo Cha mtawala wa Nibiru au 12th Planet (mbinguni)

MUNGU - Master of High Chamber
Katika accient tablets master of high chamber Alikua anaitwa
'ANU'
Alikua na mke anaitwa
'KI'
ANU NA KI walikua na watoto kama ENKI, ENLIL, INNANA, UTU,NIKURASAGI,ISHTAR nk

Kumbuka Nibiru ni Intelligence planet Yenye jamii za viumbe High Advanced Katika science and technology kiasi kwamba haielezski Katika Hali ya kawaida wao huendesha mawazo ya juu na chini ya hisabati,Biolojia na Physikia Katika kiwango kikubwa Toka Hapo kale sana Katika historia ya Ulimwengu,

Mwanzo wao kuja Duniani walishuka na Spaceship/UFO's kubwa Sana na waliweza Jenga majengo makubwa yenye Uhandisi wenye Physics kubwa
Mfano wa hayo majengo yapo Mpaka Leo
Hizo ndizo Pyramids tatu kubwa za Giza,Grand Ziggurat of Uru,
Pyramids za Mexico kama Cholula,Inca,machupichu, temple of condor,great stone of Costa Rica, Stonehenge,Rama setu bridge Tamil Nadu India, Angkor wat kambodia,
Pia Annunaki waliacha magofu ya machimbo ya kale ya Dhahabu kule South Africa,Maputo msumbiji,Kush,Grand Canyon Marekani vile vile waliacha secret Accient Mining nyingi Sana Moja wapo ambazo zimefichika na hamtakaa mjue
Hapa Tanzania ipo
GAMBOSH
Najua mtastaajabu
Ila ni kitu Cha kushangaza Sana pia Kuna Underground tunnels nyingi Sana chini ya bahari pamojaa na miji iliyozama kipindi Cha Deluge!
Mkuu katika maelezo yako ya mwanzo umesema ANU alikuwa mtawala wa Mbinguni na KI mkewe mtawala wa duniani lakini hapa kwenye maelezo yako umesema ANU alikuwa mtawala wa Nibiru hapa ambayo sayari hii iliaribiwa na vita ya Mbinguni hapa mbona mkanganyiko, lakini pia huyo ANU anasemekana ndio aliekuwa na nguvu alishindwa vp kuzuia vita ya Mbinguni, na vp aje kutafuta madini duniani wakati KI mkewe ndie mtawala wa duniani anaijua Dunia .
 
kuhusu ANNUNAKI kumuumba Binadamu ni Moja ya advanced science waliyokuwanayo Annunaki,
Wewe kinachokushangaza ni kuumba Mtu badala ya kuumba mashine Hivi hujui Kutokana na wao kua advanced Mtu nae ni mashine ya Kazi Katika migodi Yao na ni Moja ya taknolojia kubwa sana kwao?

Pia swali lako la pili linanishangaza unashangaa Anunnaki kumuumba Mtu na kushindwa umba dhahabu
Please naomba nitajie element zinazounda dhahabu,Mimi nikupe element zinazounda Mtu/binadamu halafu twende field tuone nani ataibuka bingwa
Pia nakukumbusha utajaribu kama Kuna dhahabu ya maabara itatokea na Mimi nitakuonesha jinsi Gani human manipulation na cloning project inaweza ibua kiumbe chochote maabara na ukastaajabu,
Elimu! Elimu! Elimu!
Mkuu hapa kwenye kuumba mtu kwa ajili ya kuchimba almasi kama ndio technology mbona wanazidiwa na watu wa Leo waliotengeneza machine ambazo zinachimba ina advance na kwa wingi kuliko watu, rejea wachimbaji wadogowadogo vs makampuni yanayotumia machine mfano GGM
 
Mkuu hapa kwenye kuumba mtu kwa ajili ya kuchimba almasi kama ndio technology mbona wanazidiwa na watu wa Leo waliotengeneza machine ambazo zinachimba ina advance na kwa wingi kuliko watu, rejea wachimbaji wadogowadogo vs makampuni yanayotumia machine mfano GGM
mkuu wacha masihara Binadamu wa leo unasema anachimba madini?
Annunak ndio waliosababisha baadhi ya majabari makubwa sana na underground tunnels around the World hivi unajua ile Grand Canyon Arizona marekani wanasayansi wanasema palipigwa na kimondo ila uhalisia ni accient mining?
broo huko maputo na great Zimbabwe kuna machimbo ya dhahabu yana miaka zaidi ya 3500 BC na yamechimbwa kwa ustadi na tech ambayo leo hatuna pia huko INDIA,Peru na Kush nako kuna ushahidi wa mamillion ya tani ya dhahabu yalichimbwa hapo kale hujiulizi hizo dhahabu zilipotelea wapi na hua haziozi,
watafiti wanadai dhahabu iliyochimbwa KUSH tu Akiba yake ilitosha Kukidhi mahitaji ya hapo kale na ya dunia ya leo vipi kuhusu ile tu aliyokuwa nayo Mansa Musa wa Mali ilitosha kushusha value ya dhahabu kwa miaka mingi Sana ajabu hatujui ilikopotelea hata kwenye mabaki ya kale haipo!

kama umesoma visa vya Mbingu kujengwa kwa dhahabu basi utajua kwanini miungu ya kale ili offer dhahabu kwa wanadamu
dhahabu ina fumbo tata sana mkuu!
 
Kuna mtu katoa ufafanuzi mzuri sana akinukuu angano la Kale katika kitabu cha Mwanzo, hawa malaika wachafu walivyoshuka na kuanza kuzaa na binadamu na kupatikana kizazi kingine kilichokuwa na uwezo mkubwa wa kiakili lakini matendo machafu ambayo hayakumpendeza Mwenyezi Mungu.

Mtoa hoja bado hajaeleza zaidi kuhusu hawa viumbe wengine wasioonekana (hawana mwili) na wao wapo kundi gani? (Majini, mizimu, mapepo nk) ambao wao bado wanaishi na sisi na wana uwezo ndani yao.

1695121605472.jpeg
 
hakuna hakika Juu ya Hilo mkuu maana mara ya mwisho habari zao kurekodiwa ni kule Mesoamerica hasa kwenye Maandiko ya wamaya na Aztec nk

Ukisoma baadhi ya vyanzo inadai Annunaki waliokua duniani walitofautiana wao Kwa wao sababu kubwa Ilikua ni jinsi ya kuwahandle binadamu Kuna baadhi Yao walitaka binadamu aendelee kua mtumwa wao Kuna wengine walidai binadamu anastahili kupewa ujuzi na maarifa makubwa afanane na wao,tofauti Ile ilikuja kuzaa vita kubwa kati ya pande mbili maana Enki aliyewafanya binadamu alitaka wakubalike na watambuliwe Katika jamii ya wanibiru ila ENLIL alikataa akidai lengo la binadamu ilikua ni kuwa vijakazi Katika Migodi Yao na baada ya mission kukamilika wanastahili kuondoshwa na kutoweshwa Katika tofauti zao wakakubaliana kuwaacha huru ila Kwa sharti wasipewe access ya advanced technology Bali wapate elimu ya ujuzi wa kawaida kama
Engineering, Music, uchimbaji madini mbali mbali, kufua vyuma nk yaani Ile nyepesi tu na baada ya hapo waliondoka kurudi Kwao Nibiru planet na hawajawahi rejea Tena baada ya kukaa duniani Kwa Miaka maelfu nyingi sana,huo ndio ukawa mwisho wa accient civilization za kale kama Sumerians, Assyrian, Babylon, Egyptian, Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley kuanguka na binadamu Kuanza survive Katika Hali ya kawaida huku akibakia na dhana ya Mungu, Miungu kutoka juu akitumainia ipo siku watarudi kuwakomboa kwa shida zao,

Mfano kule mexico kwenye jamii ya Aztec na Maya walitoa kafara za binadamu Ili kutuma maombi Kwa Miungu hiyo irudi itatue shida zao mbali mbali

Angalia movie ya Apocalypto ya Mel Gibson utapata idea kidogo kwanini wale watu wanatoa kafara kwa Miungu jua au star gods ambao ndio hao ANNUNAKI!
Still together blood
 
Angalizo: kutaka kumuweka Mungu katika tafsiri fulani ni jambo lisilowezekana. Yaani ni kama unataka tumucondense awe kakidonge tumuweke kwenye kikombe juu ya meza tuseme ndio huyu. Haiwezekani. Kwa akili zetu zenye mwisho wa kuelewa[finite] hatuwezi kumutafsiri yule ambaye hana mwisho [infinity].

Ndio, mungu sio jina ni cheo. Na huyu mungu kwa sisi viumbe kila mmoja huwa anamuelewa relatively na kile anachokijua hadi wakati huo. Yeye anabaki kuwa vyote katika yote. Top.
Mfano sisimizi anaweza kuwa anajua mwisho mtaa anaozuriria - Kwa hiyo atajua mungu kwake ni aliyeumba huo mtaa na vyote vilivyomo na yupo juu ya mtaa na pote katika mtaa

Binadamu wa kale akawa anaijua dunia tu so mungu akawa ni yule aliyeumba dunia yote, yeye yupo juu ya dunia yote na anadhihirika pote katika dunia yote. Ndio maana walipokuja viumbe kutoka nje ya dunia hao watu wakajua anhaa mungu ndo huyu hapa sasaa! kumbe bado inaendelea bhana. Tena inawezekana labda hao viumbe walitoka tu kisiwa fulani labda who knows

Binadamu wa sasa akaangalia na darubini akashangaa akasema Mungu ni aliyeumba ulimwengu wote so viumbe wote wapo chini yake yeye yupo juu ya vyote na anamanifest pote.

Binadamu tena huyohuyo wa sasa akanza kutengeneza mahesabu, manadharia, na mengineyo ya maulimwengu ameanza kusema oooh! kuna ulimwengu nyingi, sayari nyingine kuna viumbe wengine wana akili sana. Mungu atabaki kuwa yule aliye juu ya hayo maulimwengu yote na anamanifest pote ameyaumba au yapo chini yake. SIKU ZOTE BINADAMU ATAENDELEA KUMJUA MUNGU KADRI AKILI YAKE INAVYOPANUKA. Na huku kupanuka namaanisha vyote kwa ukuuuubwa na udoooogo. Kama juu ya vyote mbali, na ndani ya vyote karibu.
Nimeupenda Sana mfanonwako mkuu hakika nifikirishi birashaka umefikilia kwa kina

Lakini umesimamia Sana katika Imani yako ningeshauri ungetoka kidoogo nje ya Imani au unachokiamini ili tuweze kufikia mwisho mzuri wenye kutu weka huru🙏🙏🙏
 
Swali zuri Mkuu,Katika Epic of Girgamesh Annunak walimkuta kiumbe Primitive aitwaye Enkidu,
Maandiko ya Sumeria yanaweka wazi kuwa huyo kiumbe Alikua na manyoya mwilini mwake akiwa na mfanano na mtu ila si timifu,alikula majani kama hayawani wengine,Hana ufahamu wowote na hucheza Katika bustani ya kumwagilia akiwalinda wenzake wasishambuliwe na Alliens,
Hapa tunaona Annunaki waliwakuta primitive na waliwaongozea uwezo Ili wawe genre ya Homo sapiens!
🙏🙏
 
Ni kweli Mkuu Sayansi na teknolojia zote uzionazo Leo ni marudio ya Kazi ya ANUNAK Katika accient world,ndio maana Kwenye kichwa Cha mada nimesema
'kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena'

Civilization ya kale ilianguka baada ya waanunaki kuondoka duniani,Leo Ile civilization iliyoanguka imeanza kurejea Kwa Kasi kubwa,

Pia kuhusu Elon musk ni kweli aliyoongea kuhusu accient civilization na teknolojia ya Leo,
Hata Nikola Tesla alibuni Umeme wa AC Kwa kutumia accient formula za Annunak hasa akibase kwenye mfumo wa Pyramid za Giza,
Pyramids hapo kale zilitumika kama Plasma generators na ndio zile formula za mule zilimuwezesha kufanya majaribio ya Umeme wa mionzi yaani Radiation ambao utakua wireless
( Umeme unaosafiri kama mawimbi kama ya redio au ving'amuzi)

Plasma generators ilitumika kuendesha mitambo hapo kale Dunia nzima katika migodi ya Annunaki na miji mingi ya kale Bila kutegemea mfumo wa nyaya kama ilivyo Leo
Hiyo ndio high advanced science and technology!
😲😲
 
Duuu hahahahaha hii Kali ya Mwaka kwamba nifunge Uzi Kwa lengo lipi?
Wewe ndie nakushauri uuage mjadala maana umekuzidi kimo ila Uzi utaendelea kuwepo kwenye server za JF na jukwaa hili Mpaka kieleweke,
Huu ni Mwanzo tu Bado Nina information nyingi na shahidi za kihistoria kuwahusu Annunaki,

Karibu Katika mjadala!
Nahisi huyo jamaa utakuwa unamwagia ugali na mboga mkuu achana nae twende kazi
 
Au nikama
Ok m nimejibu kea kumaanisha jamii moja ikikaa sehemu moja kwa muda mrefu watazaliana ivyo ivyo resources zilizopo apo azitawatosheleza hivyo wataamia maeneo mengine...sasa ule umbali n lazima watatofautiana katika kuzungumza maana vizazi na vizazi vitapita.

Na kuhusu hiyo dhana yako kwamba wakija jamii nyingine na lugha yao inaleta mkanganyiko kwa mtizamo wangu sio ishu...maana tupo kwenye chombo kimoja chenye ukubwa sanaa.
Shida inakuja pale huyu machina,mjapani,mhindi n.k wote tuko kwenye kapu moja ila hatufanani rangi

Mkuu according to Sumerian tablets Nibiru huzunguka nyota yetu jua ikiwa kwenye mhimiri wake Kila baada ya miaka 3,600 Kisha hutoweka taratibu,michoro ya kale ilionesha ikiuweka Mwezi wetu katikati yake na Dunia na imerekodiwa Katika accient tablets Toka kale
Ikiwa na ukubwa mara tatu ya Dunia yetu!
Kama kutakuwa na kapicha tafadhari mkuu nahisi navutiwa na hii habari na Naina kina ukweri mwingi mno🙏🙏
 
Back
Top Bottom