masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
sawa ndugu yangu ntajaza nyama mda sio mrefuKaa andika kwa urefu zaidi..
A'm interested in it....
sawa mkuuhongera kwa thread nzuri....lakini Hebu weka nyama kwenye hizo operations tujue walifanyaje ili kweli tuamini wana akili kubwa
vita ya Yom kippur ilivyoanza waarabu walionekana kama wanaweza shinda ila upepo ulikuja kugeuka na kijikuta jeshi la watu 20000 likiwa limezingirwa na vikosi vya israel hapo ni jangwani wakiwa hawana msaada israel wakateka barabara ya kuelekea Cairo Dk Henry kissinger akamwambia waziri mkuu Golda Meir je unaweza kusimamisha vita jangwani? Meir alijibu watajua wenyewe na hii ilipelekea Urusi kuandaa kikosi cha jeshi la majini lililokuwa upande wa Yugoslavia kwenda kuwasaidia waarabu Usa naye akajibu na wao wataingia vitani kumsaidia Israeli mambo yakawa magumu ikabidi suluhu ipatikane na maneno ya Anwaar El Saadat ni hawezi tena kupigana na Israel kwani majeshi yetu kila yalupokuwa yakisonga mbele tulikutana na majeshi ya ITALY GERMANY FRANCE UKHiyo historia hujaiweka vzr mzee tafuta documentary moja ya Al jazeera inaitwa War in June inaelezea hii vita vzr Muisrael aliwachakaza waarabu vibaya ingawa wao walikuwa na jeshi kubwa na silaha nyingi ila hawakuwa na plaz nzuri kwenye hiyo documentary utaona jinsi Ariel Sharon alivyokuwa na mbinu bora kbs wakat akiwa generali wa jeshi
Ha ha haANSBERT NGURUMO : SAUTI KUBWA
WILLIAM MALECELA: AKILI KUBWA.
Ni kweli Sharon alikuwa mwanajeshi imara ila alieshinda vita ni yule aliefikia lengo la kuanzisha vitaHiyo historia hujaiweka vzr mzee tafuta documentary moja ya Al jazeera inaitwa War in June inaelezea hii vita vzr Muisrael aliwachakaza waarabu vibaya ingawa wao walikuwa na jeshi kubwa na silaha nyingi ila hawakuwa na plaz nzuri kwenye hiyo documentary utaona jinsi Ariel Sharon alivyokuwa na mbinu bora kbs wakat akiwa generali wa jeshi
ahahahahhaha mkuu vyumahahaaa'' mkuu hongera ' lakini hii mada yako " mbona ''umeileta" Kama habari ya ''kwenye ''vijiwe vya kahawa"", imrkosa" UCHAMBUZI YAKINIFU "" ulikuwa una kimbilia wapi ",maana yaonekana ", unaharaka " mnoo ""
Hiyo historia hujaiweka vzr mzee tafuta documentary moja ya Al jazeera inaitwa War in June inaelezea hii vita vzr Muisrael aliwachakaza waarabu vibaya ingawa wao walikuwa na jeshi kubwa na silaha nyingi ila hawakuwa na plaz nzuri kwenye hiyo documentary utaona jinsi Ariel Sharon alivyokuwa na mbinu bora kbs wakat akiwa generali wa jeshi
hahaaaa I guess soahahahahhaha mkuu vyuma
ata teknolojia inahusika zaidπ
Vita Ni Mbinu π