Weka full information, usitoe kiudoho udoho π unaogopa nini?MAHALI MZURI HYO..lkn kidogo mwenye ametoa hili jina kabugi kiasi kwenye kiswahi...ila idea yake murua kabisa...wanapiga hela mdefu tu..[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ukitaka na bei pia semaView attachment 1176657View attachment 1176658View attachment 1176659
Hio ipo nanyuki. Fairmont country club.Weka full information, usitoe kiudoho udoho π unaogopa nini?
Weka full information, usitoe kiudoho udoho π unaogopa nini?
π π yaani vi barns vyako ulivovileta vimepigwa na chini na hotel ambazo ni za kawaida tu bado. Umeleta uchafu wa windsor nimekuekea kitu cha Sea cliff uone sceneray ilivo safi kabisa.
Mimi napenda ukiweka info uweke na picha basi ili watu wajionee wenyewe hotels za Zanzibar na Barns za Kenya π
Kwa price mpaka saivi nimekumaliza, kwa uzuri wa hotels mpaka saivi nimekumaliza pia.
Utalii wa Zanzibar ni High End sana tu.... Kenya mtasubiri sana...
Sio alioitaja mwenzako ama umekusudia kuleta another one?
Huogopi kusema uongo hasa? Hebu ngoja nikukumbushe;Price my foot...na wakati wewe ukileta mm nakuletea ya juu yake...View attachment 1176699
Halafu ujue na kuletea vitu vya kawaida tu...tukitoka hapa tunaenda kwenye utalii wandani..najua utakimbia
Naelewa Una matatizo ya kudadisi mambo, yeye kaleta hii hapo Windsor hotel.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Huogopi kusema uongo hasa? Hebu ngoja nikukumbushe;
Ulianza hivi
View attachment 1176705
Nikakulete ivi
View attachment 1176706
Sasa nani kamcharaza mwenzake?
Ukaendelea ivi:
View attachment 1176707
Nikasema Okay, nkaja na hii;
View attachment 1176708
Nani Kacharazwa sasa hapo?
Hujakoma, ukaongeza na hii
View attachment 1176709
Nikasema sawa, wacha nkusogezee hii:
View attachment 1176710
nani kacharazwa hapo?
usisahau kama wewe ndie ulieanzisha kuja na bei na bila kueka picha (unajua vibanda vyenu viko overpriced uku kwetu ni dola mia mia ivo)
Mimi nikaleta Norfolk Fairmont nanyuki.Naelewa Una matatizo ya kudadisi mambo, yeye kaleta hii hapo Windsor hotel.View attachment 1176729View attachment 1176730
Windsor is in Nairobi!Nmemletea windsor jamaa aka nuna
Umeniwahi mkuu,nilitaka kusema hivyo hivyoHIII KAMA LANDMARK HOTEL UBUNGOππππππ
Nakwambia hawa watu sijui akili ilibakigi Congo wakati wa migration wakaja east Africa vichwa vitupu, nafikiri kitu ambacho hawakukiacha kule Congo ni majungu.Nmemletea windsor jamaa aka nuna
Nakwambia hawa watu sijui akili ilibakigi Congo wakati wa migration wakaja east Africa vichwa vitupu, nafikiri kitu ambacho hawakukiacha kule Congo ni majungu.
Price my foot...na wakati wewe ukileta mm nakuletea ya juu yake...View attachment 1176699
Halafu ujue na kuletea vitu vya kawaida tu...tukitoka hapa tunaenda kwenye utalii wandani..najua utakimbia
Hapo nimekuonesha bei comparison uone kama hio unayoisifia hainaga ishu mbele ya Sea Cliff, your windsor is worthless. Hayo mabanda huku kwetu ni dola mia mia nyie mnauza dola 200.Wacha kudanganya hapa wewe...we ndio ulianza...kemu cheki hyo yako ilikuwa post namba ngapi...thats y nikaona wacha niende na wewe hvo hvo tu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1176884View attachment 1176885
Hapo nimekuonesha bei comparison uone kama hio unayoisifia hainaga ishu mbele ya Sea Cliff, your windsor is worthless. Hayo mabanda huku kwetu ni dola mia mia nyie mnauza dola 200.
By the way, with all the beach you have, unataka kunambia you guys dont have beach hotels? Huja mention hata moja.
Izo hotels zako unazoleta za mbugani hio bei yake inachangiwa na mambo ya fees za mbugani lakini ukitoa hio, ni mabanda ya dola 300 tu, hata ivo nimekucharaza na advantage yote ulokuwa nao π π π
Mkuu, hotel ambayo ipo mbugani, ilitakiwa iwe more expensive kuliko ilioko baharini. Sote tunajua mtalii akienda mbugani anachajiwa hela ndefu, sasa imagine, analala kwenye hotel ambayo ipo ndani ya mbuga, what do you expect? hata ivo pamoja na advantage mliokuwa nayo, tumewapiga bao bado.Heheee...umeona sasa kwnn sea cliff ni ghali kushinda windsor...inaenda na purpose ya hyo hotel,area pia ina matter...
Thats y i was telling you sea cliff is a joke to windsor...nlishanga umeruka kw prices..so tuendelee tu...stop yapping like a kindergarten child..
Mkuu, hotel ambayo ipo mbugani, ilitakiwa iwe more expensive kuliko ilioko baharini. Sote tunajua mtalii akienda mbugani anachajiwa hela ndefu, sasa imagine, analala kwenye hotel ambayo ipo ndani ya mbuga, what do you expect? hata ivo pamoja na advantage mliokuwa nayo, tumewapiga bao bado.
Halafu mbona hunijibu? you guys dont have hotels on the beach? i think it will make more sense that way.
By the way you know why nimekuletea Sea cliff, Kwa sababu ina golf course na hoteli yetu yenye golf course ni hio Sea cliff, sijakuonesha hio kwa sababu ipo beach, look at it, ipo juu ya cliff, there is no access to the beach, lakini ipo amazing bado kuliko windsor. Sina uhakika hio Windsor iko mbugani au iko out of town tu? Kwa sababu mabanda kama hayo huku kwetu yanawekwa kwenye airbnb π
Nawaelewa hawa jamaa kwa ubishi, na ndio maana hajaleta hata hotel moja ya Beach mana anajua kama izo zao ni mabanda tu.Mkuu hapo unatwanga tu maji kwa kinu, hawa jamaa wana kale katabia ambacho wanaona kila kitu kizuri kipo kwao [emoji23][emoji23][emoji23] wakati wanajidanganya alafu ni wabishi by nature, usipoteze muda kuwajibu, waache waendelee kujidanganya ili wafurahi.
Watu hawajui hata maana ya five star hotel.
Could you highlight any hotel in Zanzibar that is ranked higher than the top hotels in Nairobi??Zanzibar haina mshindani EA! Nairobi haioni ndani! Unless huijui Zanzibar plse stay out of this!
Leopard beach resort hyoNawaelewa hawa jamaa kwa ubishi, na ndio maana hajaleta hata hotel moja ya Beach mana anajua kama izo zao ni mabanda tu.
Analeta hotels za Mbugani, wakati hela nyingi kwenye hio charge yao ni kwa sababu wanalal ndani ya mbuga tu na kumfanya mgeni asilipie tena yale magharama ya mbuga.
Ndani ya nafsi yake anajua kama Zanzibar inatisha kwa mahoteli makali ila ndo ubishi wao tu tena