Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Michael Richard

Senior Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
166
Reaction score
496
Habari,

Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk

Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
  1. Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
  2. Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
  3. Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
  4. Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
  5. Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
  6. Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
  7. Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
  8. Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
  9. Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
 
Picha hiz hapa kwa anaye hitaji anicheki 0788906890
IMG-20230426-WA0035.jpg
 
Mambo ya kuzingatia unaponunua kitu online(masoko ya China)
1.Nunua kwa verified sellers na wenye review nzuri.Sababu hataki kuharibu reputation aliyonayo.(Sellers wasio kuwa verified sometimes hawana cha kupoteza so unaweza pewa mzigo usio kidhi quality,idadi etc.)

2.Tumia malipo ya kwenye app pekee,sababu ndio utaweza ku claim refund incase kuna matatizo yametokea.Ukimlioa seller kwa njia nyingine hutaweza kudai refund kwenye app

3.Hapa ni swali kwa mtoa mada.mkuu mzigo ulifika Tanzania kwa njia ya meli na kuupokea kwa siku 21?[emoji3]
 
Safi sana!

Kwanini uliamua kufanya biashara ya hizo simu za Nokia kiswaswadu na sio haya ya kupangusa?

Maana hizo hazikai sana na chaji kama utatumia kuongea ni masaa mawili kimeisha chaji!

Kipi ambacho kime kuvuta katika hiyo biashara ya hizo simu?
 
Habari.....!!!!
Mm nipenzi Sana wakusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin.nk
Nikajiseme nami nikajaribu kwakufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile Karisa.
1): Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin
2) Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba
3): Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
4) Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express.,taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa
5) Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka MA bei rahisi zaid kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
6) basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua haw kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
7): Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu
8) Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi
9) nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect sim zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
10) kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
Bado nafikiria kwanini umeandika whorehouse?

Mtaji chini ya laki 5 umefika 1.3M
 
Back
Top Bottom