Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Habari,

Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk

Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
  1. Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
  2. Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
  3. Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
  4. Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
  5. Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
  6. Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
  7. Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
  8. Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
  9. Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
Mzigo bado uko nao? Au ushazimaliza? 😀
 
Alfu chakukusaidia kunakitu kilikuwa kinaitwa March expro kwa walio tumia App ya Alibaba March watakuwa wanajua so March vitu Vilikuw bei rahis mno
Nakumbiaje? Hata ingekuwa March-sagurasagura hakuna simu ya Nokia ya bei hiyo. Hizi zinafyatuliwa na wachina huko uchochoroni. Tuombe Mungu atusaidie zisiwe zimetengenezwa kwa material zenye madhara au zina radio waves za hatari kwani kizazi chetu kitakwisha. Nchi inaingiza kila aina ya ''takataka'' kutoka China. Fedha zimeondoa utu wa wanadamu!
 
Nakumbiaje? Hata ingekuwa March-sagurasagura hakuna simu ya Nokia ya bei hiyo. Hizi zinafyatuliwa na wachina huko uchochoroni. Tuombe Mungu atusaidie zisiwe zimetengenezwa kwa material zenye madhara au zina radio waves za hatari kwani kizazi chetu kitakwisha. Nchi inaingiza kila aina ya ''takataka'' kutoka China. Fedha zimeondoa utu wa wanadamu!
Slow down my brother utapata presha bure
 
Nauza simu pia ila hizi nokia zimeingia fake sana kuna jamaa kaanguka kibiashara vibaya yaani zimemtoa njiani kisa zina matatizo mbalimbali yaani mie nilichukua kwame pic 6 nikaishia kumrudishia zote mbovu.

Kiuhalisia sidhani kama zina quality ya toleo halisi la Nokia maana toleo OG ninalo home kwangu moja yangu nyingine ya bibie.

Haya matoleo kutokea China siyo kabisa
 
Utalia na huto tu simu, unaweza kuta network inapatikana chooni tu… itakupasa simu zote uwe unaenda kuongelea chooni.. nje ya mlango chooni hukapati.. mie kangu kalikuwa kakifik kambini ndio kanakubali..
Kaka muogope mungu acha kuwaongopea watu kwa makosa yako binafsi hizi simu ni uhakika ukinunua hiz nokia unapewa warrant 12 month tuone itakufa lini sasa wew umepigwa huko umepewa simu mbovu unaamini kila simu itakuwa mbovu acha kuwapotosha watu kak
 
Kaka muogope mungu acha kuwaongopea watu kwa makosa yako binafsi hizi simu ni uhakika ukinunua hiz nokia unapewa warrant 12 month tuone itakufa lini sasa wew umepigwa huko umepewa simu mbovu unaamini kila simu itakuwa mbovu acha kuwapotosha watu kak
Akanunue sasa, atakuja toa ushuhuda. Haina haja ya kulumbana.. nimeongea kweli mtupu.. sina haja ya kuongo pea
 
Nauza simu pia ila hizi nokia zimeingia fake sana kuna jamaa kaanguka kibiashara vibaya yaani zimemtoa njiani kisa zina matatizo mbalimbali yaani mie nilichukua kwame pic 6 nikaishia kumrudishia zote mbovu.

Kiuhalisia sidhani kama zina quality ya toleo halisi la Nokia maana toleo OG ninalo home kwangu moja yangu nyingine ya bibie.

Haya matoleo kutokea China siyo kabisa
Upo sahih kwa mtazamo wako ila hiz nokia ni og kabisa boss
 
Habari,

Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk

Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida.
  1. Lazima uwe na application ya Alibaba Alixpess, 1688,Taotao, au Yuwin.
  2. Nikatengeneza account yangu kwenye application nilioichagua ilikuwa ni Alibaba.
  3. Nikafanya utafiti wa bei maana kuna maduka ya jumla na rejareja. duka lajumla nikama Alibaba na 1688 hayo mengine ni rejareja.
  4. Nilichofanya natizama bidhaa ninayoihitaji kwenye duka langu larejareja ambalo ni Ali express, taotao, na yuwin kisha nasoma comment za watumiaji nikisha jirizisha kwa hii bidhaa nimzuri kwa matumizi narudi sasa kwenye duka langu la bei yajumla kwaajili yakununua sasa.
  5. Hatua nyingine ambayo sikuisoma popote ila niliigundua wakati nafanya utafiti wangu nikwamba supplies walio be verified na Alibaba app nauza bidhaa bei sana kwasabab kampuni zao zimesha sajiliwa. Baada ya kujua hilo nikatafuta supplies ambao hawaja be verified na alibaba wao wanauza bidhaa zao kwa uhakika haraka na bei rahisi zaidi kupata wateja wengi ili kampuni yao iweze kusajiliwa.
  6. Basi nikampata nikaongea nae yupo shapu sana tukakubaliana bei nzuri zaid nayaupendeleo akaniuliza nina agent china wakunisafirishia mzigo wangu hadi dar nikamwambia ninae kasabab nilisha soma kwenye jarida wala haikunipa shida sana, basi nikamtumia address ya agent Wang ambao ni silent ocean. Niliwachagua hao kwasababu niliona watu wanawasifia sana kwenye jarida lile nakiukwel wapo fast Sana.
  7. Basi akanitengenezea link ya payment nikafanya malipo kupitia master card yang ya airtel money nikasubiri kupokea mzigo wangu.
  8. Baada yasiku moja nikapokea ujumbe kuwa mzigo wangu umepokelewa whorehouse za silent ocean China wakanipa track number zakuangalia mzigo wangu baada Siku 21 mizigo ulipofika wakanipigia simu nikaenda kuchua sasa nauza kwa bei rahisi mpaka watu wanahisi hizi simu nizawizi.
  9. Nilinunua nokia pc100 kwashiling laki 9 garama zausafirishaji shilingi laki 2 piah supplies wangu alinitoza pesa za mbao ili kuweza kuprotect simu zangu zisipate damage yoyote. Kiufupi nilitumia kama m1.3 hadi kunifikia
Kwa msaada zaidi Wakuagiza mzigo au kwamahitaji yahizo simu tupigie 0788906890 bei yajumla 21000/= rejareja 25000/=

View attachment 2604754
Aisee!
 
Back
Top Bottom