Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Hiyo video iweke hapa wote tuoneSina expirence na nguo ila nichek whatpp nikutumie Video yakukufunza jins yakuagiza na kupata supplies mzuri 0788906890
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo video iweke hapa wote tuoneSina expirence na nguo ila nichek whatpp nikutumie Video yakukufunza jins yakuagiza na kupata supplies mzuri 0788906890
Ushukuru ila nipo makin sana naninauhakik naninachokifanyaAtaipata siku 1
mtoa uzi nakushaur kuwa njia pekee ya kuagiza simu ni ule mtindo wanautumia wafanyabiashara wengi kuchukua mzigo wa simu kwa agent anayetoa ulaya, china na kusupply kama wholesaler
hapa bongo kama sikosei wapo wa5 tu.
ndo registered Big Agents hapa bongo
Kwel kaka kwenye waerevu hapakosi wajinga msameheni tu huyoWe nae kujitia ujuaji khaaa? Umekomaaaaa ujue unatukela wasomaji?, tunakuona bwege tunaojua biashara
Karibu boss nichek whatsapp kwa video yakujifunza zaidi 0788906890Namimi nafikiri nitaingia kwenye list hii
Kwel kaka piah niliagiza raba zimenifikia leo hii bei elf kumi nasita tu mpak dar View attachment 2605187View attachment 2605188Huko vitu ni rahisi sana niliona earpod mpaka zinafika dar gharama yake ni kama 9k
Hizi hapa raba niliagiza mwez uliopitaView attachment 2605202Kwel kaka piah niliagiza raba zimenifikia leo hii bei elf kumi nasita tu mpak dar View attachment 2605187View attachment 2605188View attachment 2605189
Unauzaje hii ww ukikufikia kwa gharama ya 16,000/= mpaka mkononi?Hizi hapa raba niliagiza mwez uliopitaView attachment 2605202View attachment 2605203
Hapo earpod zinaanzia 15k na kuendelea kwa tz, so ukiwa na soko ni nzuri, BTW hizo simu una duka au unauza onlineKwel kaka piah niliagiza raba zimenifikia leo hii bei elf kumi nasita tu mpak dar View attachment 2605187View attachment 2605188View attachment 2605189
KabisaHata hizi unazosema uliagiza ni fake. Hakuna simu ya Nokia original inayouzwa kwa hiyo bei.
Mwisho msg 10_15....ni famba balaaSijachangia kwa nia mbaya ndo maana nikauliza ulizikagua vizuri?
Binafsi zilinisumbua maana hazitunzi sms ulizotuma, chaji zilisumbua.
Kagua battery yake ni nyeusi tu haina maandishi yoyote yale
Ushauri tu ...simu usinunue china...tena online ni balaa zaidi ..labda usafiri.Nauza simu pia ila hizi nokia zimeingia fake sana kuna jamaa kaanguka kibiashara vibaya yaani zimemtoa njiani kisa zina matatizo mbalimbali yaani mie nilichukua kwame pic 6 nikaishia kumrudishia zote mbovu.
Kiuhalisia sidhani kama zina quality ya toleo halisi la Nokia maana toleo OG ninalo home kwangu moja yangu nyingine ya bibie.
Haya matoleo kutokea China siyo kabisa
Kuna feki imezagaa k.koo na tandika..ndo zipo front....ukienda kichwa kichwa unauziwa bei ya og. 35- 45000\= ukishaondoka tu eneo la duka kinakata network.....naongelea experience nilinunua Kwa ajili ya miamala yaani ni uchafu....msg za malipo hazifikiKumbe hivi visimu vimekuwa vya kifoo sana sikuhizi
Kumbe ni fekero kudadeqKuna feki imezagaa k.koo na tandika..ndo zipo front....ukienda kichwa kichwa unauziwa bei ya og. 35- 45000\= ukishaondoka tu eneo la duka kinakata network.....naongelea experience nilinunua Kwa ajili ya miamala yaani ni uchafu....msg za malipo hazifiki
Ila mi mwenye duka alinambia kuwa hizi ni feki, OG zinauzwa 50Mwisho msg 10_15....ni famba balaa
Ukiwa na mzigo wowote ukimpa Silent haukwami bandariniNakumbiaje? Hata ingekuwa March-sagurasagura hakuna simu ya Nokia ya bei hiyo. Hizi zinafyatuliwa na wachina huko uchochoroni. Tuombe Mungu atusaidie zisiwe zimetengenezwa kwa material zenye madhara au zina radio waves za hatari kwani kizazi chetu kitakwisha. Nchi inaingiza kila aina ya ''takataka'' kutoka China. Fedha zimeondoa utu wa wanadamu!