Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Anza biashara ya kuagiza simu kutoka China hadi Tanzania kwa mtaji mdogo wa laki tano tu

Nauza simu pia ila hizi nokia zimeingia fake sana kuna jamaa kaanguka kibiashara vibaya yaani zimemtoa njiani kisa zina matatizo mbalimbali yaani mie nilichukua kwame pic 6 nikaishia kumrudishia zote mbovu.

Kiuhalisia sidhani kama zina quality ya toleo halisi la Nokia maana toleo OG ninalo home kwangu moja yangu nyingine ya bibie.

Haya matoleo kutokea China siyo kabisa
Toleo OG zipo ila sio 106 hizo washaachana nazo kabisa na hizi ndo nyingi feki
 
Kumbe ni fekero kudadeq
Kwa wanaojua simu zipo Og bei zinacheza hapo kwenye 40000 na mpaka 45000
Mimi ki ukweli mtoa madam namuona ana nia njema lakin hizo simu za china sio.....
Kama unataka ku experience nenda k.koo hata kesho kanunue inafanania hivyo hivyo utatuma mrejeshi.


Tena mwambie nataka ya bei ya chini...mwambia Nina 25000 akikuchekecha mwambie naongeza 5000.
Baada ya wiki utupe mrejesho.
Namna nzuri ya kufanya research kabla ya kununua mzigo mkubwa either china au Kwa mtu ingia kariakoo tafuta hiyo bidhaa ichek...
Maana 90% ya simu pale viswswad ni chinahiyo 10% ndo za ulaya na Pakistan na India....
Fanya research kaka.
Kinunue kimoja
 
Ataipata siku 1

mtoa uzi nakushaur kuwa njia pekee ya kuagiza simu ni ule mtindo wanautumia wafanyabiashara wengi kuchukua mzigo wa simu kwa agent anayetoa ulaya, china na kusupply kama wholesaler

hapa bongo kama sikosei wapo wa5 tu.
ndo registered Big Agents hapa bongo
Mfano OPPO wahusika ni kina GSM
 
Comment mbovu zisikuvuruge kabisa, wa Tanzania unatujua tupo nyuma sana. Uwa tunaona mabaya kwenye kila kitu. Nilitegemea nitakutana na maswali positive, km kuomba kujifunza kwa kumuona mshkaji kabisa. Ikiwezekana hata kumuunga mkono na ameweka wazi kabisa warrant anatoa ya mwaka. Km una physical address yake means unamrudishia mzigo anakupa pesa yako. Hata hili nalo linasumbua au kufikirisha? Tutaendelea kuwakatisha tamaa wanaotamani kutupa njia za fursa kwa kujificha kwenye mwamvuli wa utapeli.

Ndio maana Mungu alitupa uwezo pekee kabisa wa kufikiri ambao ni tofauti na wanyama. Ila kuna binadamu wenzetu bado wanafikiri kama wanyama. Imani yangu kuna watu watachangamkia fursa na watafanya vyema waliochagua kubeza waendelee. Hongera sana braza angalua haujaonyesha uchoyo wa fursa.
[emoji120][emoji120] unaakili sana mkuu utafika mbali
 
Back
Top Bottom